Elections 2010 Ikiwa kikwete atakuwa rais uwenda asimalize muda wake!

Elections 2010 Ikiwa kikwete atakuwa rais uwenda asimalize muda wake!

Hata kama wote ni njia moja sawa tu laikini anatulostisha bwana, maana anaharibu hata vizazi vyetu. MIMI SPENDI KUMUOMBEA HAYO NA HATA MSEMAJI HAKUOMBEA AFE NAYE KAWA KAMA SHEHE YAHYA TU> LAKINI MIMI NAOMBEA SAAANA CCM IFE ILI WATOTO WETU WAJ E WAISHI MAISHA MAZURI>
 
acha uchuro wako? hivi huyo DR Slaa anagurantee na Mungu ya kuishi miaka mingapi? na wewe je unajua kuwa kesho utafika? kudondoka ni ishara ya kifo? mbona nakushangaa sana, Kamuuliza Pdidy wa bongo aliumwa?
Dada/kaka anaglia hii video kwa makini halafu tuma kwa wenzako kama 10 then waombe ushauri bye.

 
Last edited by a moderator:
Hapo nilipoweka nyekundu kuhusu Rais wa Nigeria - ndugu wacha uongo, wacha uongo, wacha uongo. Rais Yar'adua alichaguliwa kwa kura, sasa hilo la kutompenda sijui umelitoa wapi. Kama ni kuumwa hilo ni jengine na ye yote anaweza kuumwa na kufa kama alivyokufa yule Rais Mwanawasa wa Zambia.

Jamani hebu mujaribu kusoma magazeti musisikie vitu nusu nusu halafu mukaanza kuunganisha na kuleta historia yenu muliyoiandika wenyewe.

La pili, eti Kikwete Mungu kamkataa - jee wewe uliwasiliana na Mungu akakwambia hivyo? Mungu alikupa ufunuo kakutumia email, fax au barua?
Hukatazwi kumkataa wewe kama Tumainiel lakini usimzulie Mungu katika hili.

Yar'dua hakuwa pendekezo la wanachi ila wananchi walimchaguwa kwa shingo upande,ilikuwa lazima awe rais. Sitak mabishano ila go and read on wikipedia ujuwe ukweli. Thx
 
Nimeliona hili, wala sitoshanga. Watanzania tumelogwa hakika! Ingekuwa nchi nyingine Urais angeusikia kwenye bomba!
 
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.

Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.

Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.

Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.

Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.
Yalisemwa sana juu ya JK, mara ana ukimwi mara yale na yale, lakini mpaka miaka 5 imeisha JK bado anadunda mitaani, kwa hiyo kwa hilo, wananchi hawatalisikia tena kwani ni porojo za kisiasa zaidi, simply, wamewapotezea ki ze origin komedi.
 
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.

Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.

Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.

Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.

Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.
unachekesha kweli mzee, Watanzani wapi? Au unamaanisha wanachadema?
 
Hapo nilipoweka nyekundu kuhusu Rais wa Nigeria - ndugu wacha uongo, wacha uongo, wacha uongo. Rais Yar'adua alichaguliwa kwa kura, sasa hilo la kutompenda sijui umelitoa wapi. Kama ni kuumwa hilo ni jengine na ye yote anaweza kuumwa na kufa kama alivyokufa yule Rais Mwanawasa wa Zambia.

Jamani hebu mujaribu kusoma magazeti musisikie vitu nusu nusu halafu mukaanza kuunganisha na kuleta historia yenu muliyoiandika wenyewe.

La pili, eti Kikwete Mungu kamkataa - jee wewe uliwasiliana na Mungu akakwambia hivyo? Mungu alikupa ufunuo kakutumia email, fax au barua?
Hukatazwi kumkataa wewe kama Tumainiel lakini usimzulie Mungu katika hili.

Sasa mkuu, magazeti ulosoma yanasemaje juu ya raisi wa Nigeria ambae hakukaa sana madarakani?
 
Yalisemwa sana juu ya JK, mara ana ukimwi mara yale na yale, lakini mpaka miaka 5 imeisha JK bado anadunda mitaani, kwa hiyo kwa hilo, wananchi hawatalisikia tena kwani ni porojo za kisiasa zaidi, simply, wamewapotezea ki ze origin komedi.
Wewe usitake kuchekesha watu anadunda wakati mtu mzima yuko chini ya meza

jk_203.jpg
 
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.

Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.

Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.

Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.

Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.

Katiba inasema Nuclear Scientist atashika usukani, sasa sijui mwendo utakuwa vipi na safari itakuwaje mpaka hapo 2015!
 
Mimi sizungumzii kuanguka mara kwa mara kwa JK, na wala simjui zaidi ya kuwa ni Rais wa Tz. Lakini hii ya kumzushia Mungu na kusema kwamba mtu fulani amepewa ufunuo ndiyo ambayo sikubaliani nayo.

inaezekana wewe ni mtoto wa kike wa sheikh yahaya, si ndo nyie mnamtibu JK?
 
Jk atadumu as long as sheikh yahya yu hai,sheikh akidodonka ile nguvu isiyoonekana aliyomwekea jk itaondoka pia na huu ndio utakuwa mwisho wa jk. Jf tukumbuke kuwa afya ya sheikh yahya kwa sasa inatazamwa na prezidaa mwenyewe(kumbuka kuwa jk aligharamia matibabu ya sheikh kule india). Jk juuuuuuuu juuuuu zaidi.
 
Kikwete atamaliza mda wake if and only if sheikh yahya ataendelea kuwa hai. Kama sheikh akiondoka(mungu epusha) nguvu ya ulinzi(majini) aliyomwekea jk nayo itaondoka. Jk kwa kulijua hilo ndo maana akagharimia matibabu ya sheikh kule india (mganga hajigangi.
 
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.

Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.

Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.

Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.

Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.

Usiwe na shaka Tumaini Urais wa Tanzania kwa mfumo ulivyo sasa ni kazi ya kupumzika tu. Hivyo Kikwete anaweza kabisa kumaliza ngwe ya miaka mitano ijayo kwani kuanguka hajaanza juzi. Hata mwaka 2005 wakati wa kuhitimisha kampeni ya CCM pale jangwani alianguka pia. Lakini hilo halikumzuia kumaliza miaka mitano.
 
Ajue bwana Mungu Kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama. Japo kuwa na kiongozi Mgonjwa ni shida hasa ktk Mamuzi yake, Uwezo wa mamuzi unapungua sana, anakuwa na hofu wakati wote. Shida ni kwamba kama anaumwa na hataki watu wajue anaumwa anaweza angamiza nchi kwa kutoa mamuzi ya ajabu hasa kwa wale wanao tilia shaka afya yake. lkn pia kwa kuto kubali status yake inaweza mpunguzia siku za kuishi.
Tumwachie Mungu, huku tukifanya mamuzi sahihi katika sanduku la kula.
 
Back
Top Bottom