Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Dada/kaka anaglia hii video kwa makini halafu tuma kwa wenzako kama 10 then waombe ushauri bye.acha uchuro wako? hivi huyo DR Slaa anagurantee na Mungu ya kuishi miaka mingapi? na wewe je unajua kuwa kesho utafika? kudondoka ni ishara ya kifo? mbona nakushangaa sana, Kamuuliza Pdidy wa bongo aliumwa?
Hapo nilipoweka nyekundu kuhusu Rais wa Nigeria - ndugu wacha uongo, wacha uongo, wacha uongo. Rais Yar'adua alichaguliwa kwa kura, sasa hilo la kutompenda sijui umelitoa wapi. Kama ni kuumwa hilo ni jengine na ye yote anaweza kuumwa na kufa kama alivyokufa yule Rais Mwanawasa wa Zambia.
Jamani hebu mujaribu kusoma magazeti musisikie vitu nusu nusu halafu mukaanza kuunganisha na kuleta historia yenu muliyoiandika wenyewe.
La pili, eti Kikwete Mungu kamkataa - jee wewe uliwasiliana na Mungu akakwambia hivyo? Mungu alikupa ufunuo kakutumia email, fax au barua?
Hukatazwi kumkataa wewe kama Tumainiel lakini usimzulie Mungu katika hili.
Yalisemwa sana juu ya JK, mara ana ukimwi mara yale na yale, lakini mpaka miaka 5 imeisha JK bado anadunda mitaani, kwa hiyo kwa hilo, wananchi hawatalisikia tena kwani ni porojo za kisiasa zaidi, simply, wamewapotezea ki ze origin komedi.Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.
Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.
Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.
Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.
Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.
unachekesha kweli mzee, Watanzani wapi? Au unamaanisha wanachadema?Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.
Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.
Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.
Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.
Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.
Hapo nilipoweka nyekundu kuhusu Rais wa Nigeria - ndugu wacha uongo, wacha uongo, wacha uongo. Rais Yar'adua alichaguliwa kwa kura, sasa hilo la kutompenda sijui umelitoa wapi. Kama ni kuumwa hilo ni jengine na ye yote anaweza kuumwa na kufa kama alivyokufa yule Rais Mwanawasa wa Zambia.
Jamani hebu mujaribu kusoma magazeti musisikie vitu nusu nusu halafu mukaanza kuunganisha na kuleta historia yenu muliyoiandika wenyewe.
La pili, eti Kikwete Mungu kamkataa - jee wewe uliwasiliana na Mungu akakwambia hivyo? Mungu alikupa ufunuo kakutumia email, fax au barua?
Hukatazwi kumkataa wewe kama Tumainiel lakini usimzulie Mungu katika hili.
.....He (KIKWETE) fell 3 times but analysts say he has fallen 5 times.
Wewe usitake kuchekesha watu anadunda wakati mtu mzima yuko chini ya mezaYalisemwa sana juu ya JK, mara ana ukimwi mara yale na yale, lakini mpaka miaka 5 imeisha JK bado anadunda mitaani, kwa hiyo kwa hilo, wananchi hawatalisikia tena kwani ni porojo za kisiasa zaidi, simply, wamewapotezea ki ze origin komedi.
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.
Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.
Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.
Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.
Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.
Mimi sizungumzii kuanguka mara kwa mara kwa JK, na wala simjui zaidi ya kuwa ni Rais wa Tz. Lakini hii ya kumzushia Mungu na kusema kwamba mtu fulani amepewa ufunuo ndiyo ambayo sikubaliani nayo.
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika sana ila nia yangu kuufahamisha uma juu ya yale yatatokea baada ya uchaguzi. Jambo la kwanza ni hamu ya watanzania kumuona Dr Slaa anakuwa rais wao.
Hata hvyo ccm wataiba kura ili kumpitisha kikwete namajibu yake ndio haya nayeye kikwete hatodumu. Ni ukwel usio pingika afya ya Kikwete inataka kufanana na Rais wa Naigeria ambaye wanachi hawakumpenda ila akapitishwa kwa nguvu na hatimae hakumaliza Muda wake akafariki, huyo sio mwingine ila ni hayati Rais Yaradua wa naijeria.
Nadhani ndicho chaweza tokea hapa kwetu ikiwa CCM itafanya ujinga. Ningekuwa Kikwete ningejistaafia kwa manufaa ya nchi yangu na serikal yangu lakn kwasababu yauroho wamadaraka anazid kung'ang'ania.
Hivi ni nani ktk maisha yake anaweza kusema aliwah kuona wapi Rais wa nchi ana anguka mbele ya hadhira kama gogo! Kikwete Mungu kamkataa nahakika hawez kuuwongoza uma wa watanzania maana hakubaliki. Tulimpenda miaka mitano ilipita ila sasa akapumzike,simuombei mabaya ila akumbuke Shekh yahaya sio mtabiri peke yake tupo watu twamcha Mungu naye Mungu kutupa mafunuo.
Nasikitika kusema tena serikal yake haitodumu,wala chama chake hakitodumu. Mungu ibariki Tanzania. Mungu wabarik watanzania. Amen.