Ikiwa leo ni hukumu ya Mbowe na wenzake, anatukumbusha mwandishi huyu wa 1980

plagiarisim, wewe ni plagialist, ume plagialize andishi kutoka ukurasa wa 163, kwenye kitabu cha Summons - Poems from Tanzania , kilichochapishwa na Tanzania Publishing House (TPH) ya Dar Es Salam, mpaka 1980.
Asante sana mkuu pascal mayalla
 
Mkuu pascal, kwa hiyo hapo unatuambia kuwa mama naye ana seat yake kwenye maamuzi ya kesi hii?
Mama si walishamuingiza mkenge kwamba wenzanke Mbowe wameshahukumiwa na wanatumikia vifungo vyao wakati ni uwongo mtupu?

Unadhani mama analifurahia hilo kuonekana kituko mbele ya media kubwa iliyomfanyia exclusive interview kama BBC?

Ukimuuliza mama leo hao waliohukumiwa wapo jela ipi na case namba ipi na nakala ya hukumu iko wapi anayo majibu?

Watu wenye guts za kumdanganya Rais wataogopa kuudanganya umma?
 
Hakuna mtu anajielewa atakubaliana na wewe.ADUI MKUU WA DEMOCRACY NA HAKI HAPA TZ NI CCM.
Nani anavuruga chaguzi kwa kuiba kura?
Nani aneelekeza vyombo vya dola kama polisi kuvuruga mikutano ya wapinzani?
Nani anacontrol utendaji wa tume ya uchaguzi?
Mambo ni mengi yanayofanywa na wewe paschal unajua,sema tu machoni pako kuna kitambaa cha kijani kinakuzuia kuona hivyo unalazimika kuhamisha mjadala kwa kuwaangushia zigo watanzania wote.
 

Haki ikitendeka kila mtu atajua. Kwani huyu bibi hajajua kuwa haki ilitendeka?

Your browser is not able to display this video.
 
inashangaza sana kuona mtuhumiwa anachagua jaji anayemtaka asikilize kesi yake!!
je inaruhusiwa kisheria kwa mtuhumiwa kuchagua Jaji anayemtaka ili asikilize kesi yake?

Hivi mshitakiwa kamchagua jaji yupi?
 
inashangaza sana kuona mtuhumiwa anachagua jaji anayemtaka asikilize kesi yake!!
je inaruhusiwa kisheria kwa mtuhumiwa kuchagua Jaji anayemtaka ili asikilize kesi yake?
... mtuhumiwa yupi kamchagua jaji?
 

The trial​



Finally,
The judge will take his place
And the accused,
The complainant
And the onlookers:
All will know where to be - and
Justice will be meted out
Even before the trial.
Kwahiyo ndani ya mahakama kuna watu wataingia wakiwa hawajui hukumu na wamo ambao wanaingia huku tayari walikwisha ijua hukumu! One people two countries apart.
 
Do you really know who is the system provider? Until you know.....
 
Umesoma comment yote ya Ndugu Mayalla? Au umesoma nusu nusu na kukimbilia kujibu?
 
Paskali, unaonaje hii tuiite kesi ndogo iliyozaliwa na kesi ndogo chini ya kesi kubwa na tuipangie jaji.
 
Kwahiyo ndani ya mahakama kuna watu wataingia wakiwa hawajui hukumu na wamo ambao wanaingia huku tayari walikwisha ijua hukumu! One people two countries apart.
Hukumu ya Lema kuvuliwa ubunge ilivuja siku moja kabla, wote tuliijuwa hukumu kabla siku ya hukumu.

Nadhani mahakama imejifunza kitu katika kutunza siri, maana hata Sabaya licha ya watu wenye akili timamu kujuwa lazima afungwe lakini hakuna kilichovuja mpaka dakika ya mwisho.
 
Ulipotea sana mkuu...Nakusalimu
 
Fahamu kuwa siku zote katika maisha siri huwa ni ya mtu mmoja, mkiwa wawili si siri tena.
Jaji akimuhusisha mtu wa pili kwenye uamuzi wake kuna uwezekano mtu wa pili akamueleza mkewe na mkewe akamueleza mama au baba awe mkwe au mzazi. Jaji pia huenda chini ya msukumo asioupenda anaweza akamueleza mkewe na mkewe akamueleza mama au baba mkwe au mzazi.
 
Msiri wa Jaji ni secretary wake, hakuna mtendaji yeyote ambaye hana mtu wa kumsaidia au kumrahisishia majukumu.

Kama upo mijini humu kwenye vibanda vya stationary unaweza kujuwa naongea nini, wale wana siri nyingi sana.

Hadi mawakili janjajanja wanachapisha mambo yao kwa hawa wa stationary za town.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…