Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,903
- 1,360
Kama barabara, afya, maji, na yote aliyotaja Ndugai yanafanywa na tozo ya miamala; kodi nyingine zinafanya kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai ni mmoja wa watu wanaomhujumu Rais kwa kauli zake za kumfitinisha na wananchi, hasa pale alipowaambia watanzania kuwa lazima watozwe kodi kwa lazima, watake wasitake.Kama barabara, afya, maji, na yote aliyotaja Ndugai yanafanywa na tozo ya miamala; kodi nyingine zinafanya kazi gani?