Ikiwa Mbowe alimpa Lissu nyumba Dodoma, kwanini kamera hazikuwahi patikana baada ya shambulio la Lissu?

Ikiwa Mbowe alimpa Lissu nyumba Dodoma, kwanini kamera hazikuwahi patikana baada ya shambulio la Lissu?

Kuna yule Mama kakataa Gari la mwanaye na kuliita ni Jeneza, kwani anayajua matendo machafu ya Mwanawe!!.


Embu tuvirejee vifoo vya makamanda huko nyuma tukianza na Wangwe !!.
WAtayasema yote
 
Kuna yule Mama kakataa Gari la mwanaye na kuliita ni Jeneza, kwani anayajua matendo machafu ya Mwanawe!!.

Embu tuvirejee vifoo vya makamanda huko nyuma tukianza na Wangwe !!.
Mwenye kumiliki hiyo nyumba ni Serikali au ni Mbowe?
 
ashukuriwe yule nesi aliyeambiwa na LISu

do something for me....LISu akiwa anamwaga damu balaa....

serikali ya JPM na FAM wakamfukuza kazi
 
Mambo ya Wangwe ni uzushi tu wa CCM.
Vipi kuhusu waraka wake? Mbona kama vile ndio chanzo cha kifo chake ukiusoma vizuri ukauelewa?
Kwa nini ukigombea uenyekiti CDM unakuwa adui wa Mbowe na genge lake?
Uadui unakuwa mkubwa wa kiwango cha kutishia hata usalama wako.
 
Kama ni hivyo basi huyu Mbowe yuko juu ya serikali yote ya CCM kiasi anaua watu na kuisingizia serikali nayo serikali inamgwaya huyu Mbowe ni mtu very powerful hadi kaiweka serikali ya CCM mfukoni mwake.
Anajua siri nyingi za hatari alizoshirikiana nao.
 
Kuna yule Mama kakataa Gari la mwanaye na kuliita ni Jeneza, kwani anayajua matendo machafu ya Mwanawe!!.

Embu tuvirejee vifoo vya makamanda huko nyuma tukianza na Wangwe !!.
Hizo camera hazikuwa kwenye nyumba hiyo zilikuwa nyumba ya jirani hata hivyo hilo la camera siyo la msingi, la msingi ni la kwanini walinzi waliondolewa kwenye LINDO, pia ninani aliwapangia zamu Ndiyo hapo tunaanza kusikia harufu ya panya
 
Vipi kuhusu waraka wake? Mbona kama vile ndio chanzo cha kifo chake ukiusoma vizuri ukauelewa?
Kwa nini ukigombea uenyekiti CDM unakuwa adui wa Mbowe na genge lake?
Uadui unakuwa mkubwa wa kiwango cha kutishia hata usalama wako.
CCM walifanya timing tu kuwa kwa varangati lile wakifanya jambo lazima litamwangukia Mbowe,ila walishindwa katika hilo na walipata aibu kwenye uchaguzi mdogo kujaza nafasi ya Chacha wangwe kule Tarime waliwachochea Wakurya kwa propaganda dhaifu sana ambazo zilibuma na wakaiadhibu tena CCM kwa kuchagua tena mbunge toka Chadema,na mtu aliyepewa kandarasi ya kusambaza hizo propaganda alikuwa Marehemu Christopher Mtikila ndiyo maana Wakurya walimpiga jiwe kichogoni manusra wamtoe roho.
 
Kama ni hivyo basi huyu Mbowe yuko juu ya serikali yote ya CCM kiasi anaua watu na kuisingizia serikali nayo serikali inamgwaya huyu Mbowe ni mtu very powerful hadi kaiweka serikali ya CCM mfukoni mwake.
Tatizo akikamatwa atasingizia ukandamizwaji wa demokrasia hata kesi yake ya mwaka juzi si nusu afungwe ila ni huruma za mama Samia tu?
 
Mbowe alikua mshikaji wa karibu wa jiwe, nyie unganisheni doti tu.
 
Kuna yule Mama kakataa Gari la mwanaye na kuliita ni Jeneza, kwani anayajua matendo machafu ya Mwanawe!!.

Embu tuvirejee vifoo vya makamanda huko nyuma tukianza na Wangwe !!.
TISS wana majibu yote, hivi kwa nini polisi hawayashughulikii hayo? Wanalinda serikali pamoja na chama tawala au wanamlinda Mbowe?
 
Back
Top Bottom