Ikiwa Mbowe alimpa Lissu nyumba Dodoma, kwanini kamera hazikuwahi patikana baada ya shambulio la Lissu?

Ikiwa Mbowe alimpa Lissu nyumba Dodoma, kwanini kamera hazikuwahi patikana baada ya shambulio la Lissu?

CCM walifanya timing tu kuwa kwa varangati lile wakifanya jambo lazima litamwangukia Mbowe,ila walishindwa katika hilo na walipata aibu kwenye uchaguzi mdogo kujaza nafasi ya Chacha wangwe kule Tarime waliwachochea Wakurya kwa propaganda dhaifu sana ambazo zilibuma na wakaiadhibu tena CCM kwa kuchagua tena mbunge toka Chadema,na mtu aliyepewa kandarasi ya kusambaza hizo propaganda alikuwa Marehemu Christopher Mtikila ndiyo maana Wakurya walimpiga jiwe kichogoni manusra wamtoe roho.
Lakini wakaja sanuka 2020
 
Tatizo akikamatwa atasingizia ukandamizwaji wa demokrasia hata kesi yake ya mwaka juzi si nusu afungwe ila ni huruma za mama Samia tu?
Na akili zako timamu unaamini Mbowe anaweza kutoa amri walinzi wa serikali waondolewe masaa kadhaa kabla ya Lissu kushambuliwa?
 
Mbowe na Lissu wavuane nguo hadharani mpaka chama chao kife kwa wananchi wa kawaida(ukitoa mashabiki wa siasa) maisha yao yataendelea kama kawaida ila kitendo cha polisi kutokufanyia upelelezi mauaji, utekaji na utesaji wa wale wanaokosoa serikali ni ufala kujaribu kupotosha kifala kwamba watu nje ya serikali wanaweza kuyafanya na wasichukuliwe hatua. Kama huwa wanawekwa mahabusu kwa vimakosa uchwara vya kisiasa wanawezaje kuachwa wakiua huku serikali ikituhumiwa?
Kama ni hivyo basi hata Aqulina alitunguliwa risasi na Mbowe ndiyo maana serikali haikuchukua hatua mauaji yale ya kibaradhuli.
 
Mbowe na Lissu wavuane nguo hadharani mpaka chama chao kife kwa wananchi wa kawaida(ukitoa mashabiki wa siasa) maisha yao yataendelea kama kawaida ila kitendo cha polisi kutokufanyia upelelezi mauaji, utekaji na utesaji wa wale wanaokosoa serikali ni ufala kujaribu kupotosha kifala kwamba watu nje ya serikali wanaweza kuyafanya na wasichukuliwe hatua. Kama huwa wanawekwa mahabusu kwa vimakosa uchwara vya kisiasa wanawezaje kuachwa wakiua huku serikali ikituhumiwa?
Kama ni hivyo basi hata Aqulina alitunguliwa risasi na Mbowe ndiyo maana serikali haikuchukua hatua mauaji yale ya kibaradhuli.
 
Greater thinkers Mbona mnakuwa vilaza?

Ile ni nyumba ya serikali. Ilikuwa akae kiongozi wa upinzani bungeni. Mbowe ana makazi yake hivyo akamwachia wa pili wake ambaye ni Lissu.

Haina maana ile ni nyumba ya Mbowe. Ni nyumba ya serikali
 
Hivi yule mtoto wa mbowe wa kike yupo wapi niongeee naye nampenda
 
Mbowe msanii sana,nyumba aliyokuwa anakaa Lissu ni ya serikali sasa toka lini Mbowe akawa mgawa nyumba za serikali? Haya mambo mengine Mbowe anajitafutia aibu tu.
 
dahhhhhhh vyabure viliwaumiza makamanda......hatutaki vya bure tena mbowe out
 
Back
Top Bottom