Poleni na mfungo wakuu,
👉Kama tunavyojua wanawake wameumbwa na hulka ya kusifiwa
👉Na pia ni emotional oriented "
👉Kwenye suala la upishi huwa wanapenda sana wapewe credit
Endapo mwanamke wako atazidisha chumvi kwenye maakuli ni lugha utatumia kufikisha ujumbe ili usimkwaze
👉Aya tutiririke hapo wakuu
Ningekua mimi kwema ni kwenye" "good mood" ningesema" msosi upo kwenye mama Ila salt scale🤗 kidogo ifanyie umejisahau but Food ni iko vizuri"
👉Nikiwa na mood mbaya ningemwambia "kazi kutap tap tik tok tu kutafuta likes😂Ila chumvi kwa mboga tele kama coco beach" (jokes)
👉Kama tunavyojua wanawake wameumbwa na hulka ya kusifiwa
👉Na pia ni emotional oriented "
👉Kwenye suala la upishi huwa wanapenda sana wapewe credit
Endapo mwanamke wako atazidisha chumvi kwenye maakuli ni lugha utatumia kufikisha ujumbe ili usimkwaze
👉Aya tutiririke hapo wakuu
Ningekua mimi kwema ni kwenye" "good mood" ningesema" msosi upo kwenye mama Ila salt scale🤗 kidogo ifanyie umejisahau but Food ni iko vizuri"
👉Nikiwa na mood mbaya ningemwambia "kazi kutap tap tik tok tu kutafuta likes😂Ila chumvi kwa mboga tele kama coco beach" (jokes)