Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
kuelezea utu na haiba ya za ndani za mwenzi wako kwa matusi ya fedheha mbele za watu au kwa marafiki zako, na kufichua siri na madhaifu ya utu na heshima ya mwenzi wako khadharani sio ungwana na sio ustaarabu....
ulipokua nae uliweza kuvumilia, na kustahimiliana mengi sana miongoni mwenu.
leo hii mmetofautiana na mmeshindwana kuendelea kua pamoja, basi, yaishe kistaarabu na kila moja akatafute uelekeo anaoona unamfaa kwa majaaliwa yake Mungu, na kusonga mbele kwa amani...
hii ya kusindikizana kwa matusi ya nguoni ya aibu, na status za kuchokozana na za kuudhi mitandaoni zinachochea uhasama na uadui usiokoma kitu ambacho naona hakina maana wala umuhimu wowote....
mkikutana kimjini mjini, achaneni kimjini mjini, mkikutana kibongo bongo basi vile vile muachane kibongo bongo....
show love sio deal, haijawahi kuacha mahusiano, uchumba au ndoa salama 🐒
ulipokua nae uliweza kuvumilia, na kustahimiliana mengi sana miongoni mwenu.
leo hii mmetofautiana na mmeshindwana kuendelea kua pamoja, basi, yaishe kistaarabu na kila moja akatafute uelekeo anaoona unamfaa kwa majaaliwa yake Mungu, na kusonga mbele kwa amani...
hii ya kusindikizana kwa matusi ya nguoni ya aibu, na status za kuchokozana na za kuudhi mitandaoni zinachochea uhasama na uadui usiokoma kitu ambacho naona hakina maana wala umuhimu wowote....
mkikutana kimjini mjini, achaneni kimjini mjini, mkikutana kibongo bongo basi vile vile muachane kibongo bongo....
show love sio deal, haijawahi kuacha mahusiano, uchumba au ndoa salama 🐒