FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Ndo wewe nlkuona janaLazima wrote wasimame wanipishe mm Na mkulima wangu nikauze machungwa
That will not be an emergency...Ambulance haitatoka ilipo hadi msafara upiteUpungufu wa nguvu za kiume
a na msafara na anapishwa ni mmoja tu hao wengine hawana misafara ya hivyoRais gani kwanza? Wa TFF au Rais wa WCB.
Rais wa simba mkuuRais gani kwanza? Wa TFF au Rais wa WCB.
Rais wa simba mkuu
Ambulance hizi zinazobeba Cabbage na Bangi?Msafara utaipisha AMBULENSI
Mi hua najiuliza vipi ukikutana na gari bovu barabarani limezima na pande zote hakuna mahala pa ku park je watapita upande mmoja wa barabara au vipi