Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ivi kibonyezeo cha dislike kipo wapi??Lazima wrote wasimame wanipishe mm Na mkulima wangu nikauze machungwa
mwenye gari bovu atasalimiana na hao jamaa wanaojulikana kama "wasiojulikana"Mi hua najiuliza vipi ukikutana na gari bovu barabarani limezima na pande zote hakuna mahala pa ku park je watapita upande mmoja wa barabara au vipi
Raisi Wa Tanganyika.Rais gani kwanza? Wa TFF au Rais wa WCB.
Wage...kuriko....Unaonyeshaa hujielewii kabisaa! Kwenye suala la uhai hakuna Alieboraa kuliko mwingineAmbulance lazima ipishe msafara wa Raisi,Raisi ,ni RAIA wa kwanza kwa ubora,
Bora RAIA wengine wage,kuriko raisi,
mmmmm rais wa Tanzania !wa Botswana hahitaji msafara yeye anatumia pikipiki na anajiendesha mwenyewe!!Haiwezi kutokea msafara wa rais ukakutana na ambulance hata siku moja maana msafara wa rais unavyotoka hapo ujue barabara yote nyeupeeee hiyo ambulance itatoka wapi sasa
Angalia hapo katikati ya kishundu chako utakionaivi kibonyezeo cha dislike kipo wapi??
kwangu hakipo,, vip ww unacho unisaisie??Angalia hapo katikati ya kishundu chako utakiona
Hakipo kwani unanyea mdomoni?kwangu hakipo,, vip ww unacho unisaisie??
hiyo ambulance ina upana gani wa kushindwa kupita katika line yake.. mpaka line ya upande wa pili usimame umpishe apite?? wote watapita kama kawaida watapishana kama gari zingine zinavypishana au unazan msafara wa raisi gari zinazagaa barabara yoteKote ulimwenguni gari LA wagonjwa likiwa Lina mgonjwa na limewasha king'ora halipaswi kusimamishwa na yeyote
Na ikiwa litakutana na msafara was rais,je nani atampisha mwingine au litasubiri mgonjwa azidi kuzidiwa!na hasa main road ikiwa moja kama Mwanza au Kahama.
Wana JF tupeane uzo3fu
Instagram:kaukwaju
Gari la Rais linawekwa katikati kati ya magari mawili wakiwa kwenye msafara I mean left na right huwa kuna magari mawili moja wapo ni la polishiyo ambulance ina upana gani wa kushindwa kupita katika line yake.. mpaka line ya upande wa pili usimame umpishe apite?? wote watapita kama kawaida watapishana kama gari zingine zinavypishana au unazan msafara wa raisi gari zinazagaa barabara yote
kumbe... ahsante kwa kunipa ELIMUGari la Rais linawekwa katikati kati ya magari mawili wakiwa kwenye msafara I mean left na right huwa kuna magari mawili moja wapo ni la polis
Zinakutana na inabidi rais alipishe ile ni emergency inaweza onekana iko wazi Lakin huwezi jua mtu anazidiwa saa ngapi na rais anapita saa ngapi?Haiwezi kutokea msafara wa rais ukakutana na ambulance hata siku moja maana msafara wa rais unavyotoka hapo ujue barabara yote nyeupeeee hiyo ambulance itatoka wapi sasa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Upungufu wa nguvu za kiume
Unataka kuongopa nini?Ni mgonjwa mwenye tatizo gani?