Ikiwa mwajiri amegoma au kushindwa kukuingizia hela yako ya NSSF na tayari mkataba wako umeshaisha na mmeagana kwa amani nini hasa unabidi kufanya?

Ikiwa mwajiri amegoma au kushindwa kukuingizia hela yako ya NSSF na tayari mkataba wako umeshaisha na mmeagana kwa amani nini hasa unabidi kufanya?

NSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?
 
Yes hajaingiza Mkuu
NSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?
 
Hapa tu ukishusha detail za mwajiri wako unapata haki yako cha msingi Nssf ndo wangekupa muongozo, na uliandika barua kujulisha kwamba mkataba wako unakwisha wakulipe stahiki zako? Kampuni nyingi pesa hawapeleki Nssf has hizi uchwara ila ukiwaletea mkwara wanakuingizia zote kwa pamoja
 
Wakuu nimeambiwa niende Kwa chalamila je ni sahihi?
 
Hapa tu ukishusha detail za mwajiri wako unapata haki yako cha msingi Nssf ndo wangekupa muongozo, na uliandika barua kujulisha kwamba mkataba wako unakwisha wakulipe stahiki zako? Kampuni nyingi pesa hawapeleki Nssf has hizi uchwara ila ukiwaletea mkwara wanakuingizia zote kwa pamoja
Yes niliandika mkuu
 
NSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?

Hujui halafu unajidai unajua
 
NSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?
Very possible Sis, imetokea kwa mama yangu.

Wa kwake hajagoma ila amechelewesha, Alikuwa na waajiri tofauti kutoka taasisi moja.
 
Wakuu , naomba muongozo ni hatua gani sahihi za kuchukua endapo mwajiri hataki kukuwekea pesa yako NSSF na tayari mmeachana vizuri.


Umri wa mwajiriwa umeshafika 60 yrs

Ila mwajiri hataki kuingiza pesa nssf?
Nenda ofis za nssf zilizo karibu wakupe muongozi. Ikibidi omba kuongea na manager. Au piga simu 0800116773 ya customer care.
 
Back
Top Bottom