Hapana hawezi kupata mpaka astaafu au afukuzwe kazi na siyo ku resign. Hata kama huko private sector angekuwa alifuzwa basi angepata endapo tu angekuwa hajapata kazi sehemu nyingine. Napo angelipwa 33.3% ndani ya mwaka mmoja kwa miezi sitaMkuu mwanangu alikuwa private amepata kazi serikalin je anaweza kupewa michango yake ya nssf?
Kuna jamaa yangu amesaidiwa juzi kupitia ukurasa wa instagram wa NSSF @nssftz mwambie atume huko taarifa zake muhimu kama namba ya uanachama na majina yake kamili pamoja na mahali alikuwa anafanyia kazi atapata msaada wa harakaWakuu , naomba muongozo ni hatua gani sahihi za kuchukua endapo mwajiri hataki kukuwekea pesa yako NSSF na tayari mmeachana vizuri.
Umri wa mwajiriwa umeshafika 60 yrs
Ila mwajiri hataki kuingiza pesa NSSF?
Nimeanzia nssf hamna hela so nimeambiwa nipambane na mwajiri wangu
Ndo nimekuja hapq kuchukua muongozo
Kawaida sana. Makampuni binafsi mengi yanadaiwa hadi mabilioni.NSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?
Inbox?Kuna jamaa yangu amesaidiwa juzi kupitia ukurasa wa instagram wa NSSF @nssftz mwambie atume huko taarifa zake muhimu kama namba ya uanachama na majina yake kamili pamoja na mahali alikuwa anafanyia kazi atapata msaada wa haraka
Atume inboxInbox?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahJf haina expert imejaa wajinga tu
WAnawajua wasiolipa na hawawafanyi chochoteNSSF pesa zinalipwa monthly.. imekuwaje mwajiri mmeachana na bado hajaweka pesa?
Kwamba inawezekana kuvusha mwezi pasipo kupeleka michango? Na hawa staff wa NSSF wanaopiga doria maofisini kukagua risiti hard copies hawakumfikia mwajiri wako?