mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Utaolewa na wanaokudai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi hela huwa mnapeleka wapi? Kuna mtu mshahara ukiingia hizo taasisi zinabeba anabakiwa na elfu80. Hivi mtu mwenye familia 80elfu unafanyia nini na una mke(mama wa nyumbani) na mtoto[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kopa tigo niwezeshe au timiza Airtel moneyKwa wale ambao hatuna ajira tukitaka mkopo tunapataje
Mmmmh!Ujue sasa kuwa mwanaume si jambo dogo,
Ndio maana sponsor tupo kwa akiri hiyo unaacha Ela ya ugali dagaa unakuta wali kuku upo mpaka hapo?Ujue sasa kuwa mwanaume si jambo dogo,
Ndio maana sponsor tupo kwa akiri hiyo unaacha Ela ya ugali dagaa unakuta wali kuku upo mpaka hapo?
Poa Mkuu,umeeleweka;Sio kwamba hiyo hela nilichukua kwa wakati mmoja na kutoka kwa mtu mmoja ni kuwa watu na taasisi tofauti zinanidai ambapo nikipiga Total ni 10,000,000 na kuhusu hela niliifanyia nini nilifungua business imebuma nimelipia watoto ada na nyingine imetumika katika gharama za kawaida za maisha
Unauliza nini ndoa Ni kusaidianaAfu huulizi unakula ausio [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mwalimu, kwanza pole kwa hali unayopambana nayo. Ukishaingia katika mikopo hiyo (kanyaga twende) ujue, utakuwa mtumwa mpaka utakapo, lipwa kinuamgongo cha cha kustaafu, nacho kitakatwa kufidia mikopo hiyo donda ndugu, ya kupe. Ni ufanye basi? Fanya hivi, kaongee, na mkurugenzi wako wa kazi(ajira), anunue hiyo mikopo yote. Ukawalipe taslimu, yaani riba ita pungua, nakuhakishia utalipa tano kamili. Hizo tano,nyingine ujue ni riba na penati. Na ukitoka weka makubaliano ya kuli laki mbili, kila mwezi miezi 36, jibane na hiyo laki tatu kwa matumizi na kucheza laki laki kila mwezi kwenye vikoba kwa ajili ya kupata mikopo ya dharula kama magonjwa na kulipa ada za watoto. Kingine siku za wikendi tumia hiyo bodaboda yako,kusanya hela ya mboga. Kwa maelezo zaidi usisite kuomba msaada pale utakapokwama.
AISEEHivi hizi hela huwa mnapeleka wapi? Kuna mtu mshahara ukiingia hizo taasisi zinabeba anabakiwa na elfu80. Hivi mtu mwenye familia 80elfu unafanyia nini na una mke(mama wa nyumbani) na mtoto[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Pole aisee, nenda kaongee na wadai wako waombe riba isimame, kisha jitahid kukomand laki 2 ilipe madeni laki 3 jibane katika matumizi.Mtu ambaye amepitia struggle ya kudaiwa kiwango cha pesa ambacho kipo nje ya uwezo wake atakuwa ashaelewa nini namaanisha.
Mfano unafanya kazi unalipwa 500,000/= per month una madeni sehemu tofauti lakini Total ya madeni yako ni 10,000,000/= ikumbukwe kwamba kwenye hayo madeni kuna madeni umiza(yaani kadri unavyochelewa kulipa ndivyo kiasi unachodai kinaongezeka).
A part from that wewe ni Baba, Mume, Kaka na mtoto unategemewa na kuhakikisha kuwa panapotokea tatizo basi liwe under control kwa kutumia akili na uwezo wako.
Bila ya kusahau kuwa gharama za maisha zipo palepale.
-kodi ya nyumba
-chakula
-bili za umeme na ving'amuzi
-mavazi
-ada. etc
Ikumbukwe Sina assets zozote zinazoweza kucompensate mikopo yangu dhamana niliyonayo ni kazi pekee.
Kwa situation kama hii unahitajika muujiza tu kulipa hiyo pesa sasa nikikubali na kukiri siwezi kulipa madeni yangu je kisheria ntachukuliwa hatua gani?
Mara mwisho nilisikia Zambia ilikiri kushindwa kulipa madeni yake lakini heri Zambia sababu ni nchi wanaweza binafsisha serikali.
Hizi Taasisi za mtaani unaingia kama utani kumbe ndio unaingia king imagine mtu anakukata mshahara wote ili hali anajua wewe ni mtu mzima na una familia inakutegemea mpaka uanze kutia huruma na anakupa hela ambayo inakuja kukutesa mwisho wa mwezi kwa hiyo inakuwa mzunguko mara mwaka umeisha mara miaka bado style ni ile ileKuna taasisi za kifedha hasa hizi za mtaani wakikukopesha fedha huwezi kuilipa yaani utawalipa had siku un astaafu. unaweza kukopa milioni tano ukaja kulipa milion arobaini hawa jamaa n wa ajabu sana. sasa Nirudi kwako mtoa mada ukishindwa kulipa na ukakiri umeshindwa wadhamini wako watahusika
Hizi Taasisi za mtaani unaingia kama utani kumbe ndio unaingia king imagine mtu anakukata mshahara wote ili hali anajua wewe ni mtu mzima na una familia inakutegemea mpaka uanze kutia huruma na anakupa hela ambayo inakuja kukutesa mwisho wa mwezi kwa hiyo inakuwa mzunguko mara mwaka umeisha mara miaka bado style ni ile ile
Wapo wachache wenye utu ni kweli ila walitokea ukanda wa Mara kweli wametumwa pesawapo wenye ubinaadam sana aisee.tatizo ni wale wanaofanyia tamaa hiyo bishara.ndio wale deni linaanza 1ml unakuja kulipa 4.6mln.
wizi mkubwa.
unakopa kwa mtu unalia udhuru miezi mitatu hakati kitu!!!
Mkopo kwa biashara mpya huwa ni mtihani Sana kusongaSio kwamba hiyo hela nilichukua kwa wakati mmoja na kutoka kwa mtu mmoja ni kuwa watu na taasisi tofauti zinanidai ambapo nikipiga Total ni 10,000,000 na kuhusu hela niliifanyia nini nilifungua business imebuma nimelipia watoto ada na nyingine imetumika katika gharama za kawaida za maisha