Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Nimeshangaa juzi kumsikia MTU anayejiita Mbowe , Kwa kusema moja ya faida ya maridhiano ni chama kupata ruzuku ambayo ni bil 1 .6 iliyotumika kununua jengo ambalo ndo ofisi ya chadema na makao makuu HQ .
Swali ikiwa mlikuwa mnapata ruzuku mil 300 Kwa kipindi cha miaka 5 ambayo ni sawa na Bil 18 +
Je hizo pesa mlizitumia kufanya shughuli gani ?
Na mwaka 2016-2020 mikutano ambayo ilijumuisha mikusanyiko ya nje ilikuwa ipo banned. Imepigwa marufuku.
Na bado mlikuwa na wabunge wengi Sana ambao inasemekana walikuwa wakichangia mil 1 kila mbunge .
Napenda kujua hizo pesa zilifanya Kazi gani.
Kama mlilipa madeni je mlikopa pesa kiasi gani?
Na michango ya wanachama ilikuwa kiasi gani.
Kiufupi nina maswali mengi Kwa Chadema .
Swali ikiwa mlikuwa mnapata ruzuku mil 300 Kwa kipindi cha miaka 5 ambayo ni sawa na Bil 18 +
Je hizo pesa mlizitumia kufanya shughuli gani ?
Na mwaka 2016-2020 mikutano ambayo ilijumuisha mikusanyiko ya nje ilikuwa ipo banned. Imepigwa marufuku.
Na bado mlikuwa na wabunge wengi Sana ambao inasemekana walikuwa wakichangia mil 1 kila mbunge .
Napenda kujua hizo pesa zilifanya Kazi gani.
Kama mlilipa madeni je mlikopa pesa kiasi gani?
Na michango ya wanachama ilikuwa kiasi gani.
Kiufupi nina maswali mengi Kwa Chadema .