Ikiwa tuliukataa ukoloni, kwa nini tusiikatae na mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

Ikiwa tuliukataa ukoloni, kwa nini tusiikatae na mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Kama si Wakoloni, huenda Tanganyika kwa sasa ingekuwa ni nchi ndogo sana au kubwa sana kuliko ilivyo sasa.

Isingelikuwa Wakoloni, huenda Arusha na Kilimanjaro zingekuwa nchi zinazojitegemea!

Isingelikuwa ukoloni, huenda Rwanda na Burundi zingekuwa nchi moja au zingekuwa moja ya mikoa ya Tanganyika!

Isingelikuwa ukoloni, huenda bara la Afrika lingekuwa na mataifa mengi zaidi au machache zaidi kuliko ilivyo sasa.

Hii ni kwa sababu Waafrika wangejitengenezea mipaka ya nchi zao kwa kuangalia uhitaji walio nao na si matakwa ya Wazungu.

Huenda leo hii usingekuta kabila moja linapatikana zaidi ya nchi moja. Kwa sasa utakuta:

1. Mmasai wa Kenya na Tanzania!
2. Mmakonde wa Tanzania na Msumbiji!
3. Mjaluo wa Tanzania na Kenya!
4. Mkurya wa Tanzania na Kenya!
5. "Mhaya" wa Tanzania na Uganda!
6. "Muangaza " wa Tanzania na Rwanda!
7. "Muha" wa Tanzania na Burundi, n.k.

Japo mipaka tuliwekewa na Wazungu, tumeziheshimu sana kiasi kwamba hatupo tayari kurekebisha kwa namna yoyote ile. Ni kama vile tunajivunia kazi tukuka tuliyofanyiwa na Wazungu ya kutuamulia mipaka ya nchi zetu na hata majina ya baadhi ya Mataifa yetu. Ndiyo maana kipindi fulani Tanzania na Malawi zilitaka kuingia kwenye mtafaruk wa kugombea Ziwa Nyasa. Kisa? Ramani ya Mzungu iliwawmbia watu wa Malawi kuwa hilo Ziwa ni mali yao.

Japo Afrika ni moja lakini kuingia baadhi ya nchi ni mpaka viza. Unaweza ukakuta nchi zingine za Kiafrika Mzungu wa Ulaya ana urahisi wa kuingia kumzidi Mwafrika anayeishi Afrika.

Mbona Wazungu wamejitengenezea utaratibu huko kwao unaowawezesha kusafiri kirahisi bila bughudha ndani ya bara lao zurila Ulaya?

Mbona Wazungu wameweza kuwa na sarafu moja?

Mbona Wazungu wa Ulaya wameweza kuuimarisha umoja wao kwa manufaa yao?

Sisi tungali tunatii kile kilichofanywa na Wazungu: wagawe ili uwatawale? (Divide and rule). Tumeshindwa kuondokana na athari za ukoloni ndani ya bara letu ambalo ni bara bora na tajiri duniani?

Ili kuonesha kuwa tumeamua kuachana na ukoloni, kwa nini hatujarekebisha au kuondoa kabisa mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

Kwa nini hatujaachana na kila kitu cha kikoloni ikiwemo mipaka ya "kimagumashi" waliyotuwekea?
 
Miaka ya mwanzo ya uhuru wa bara la Afrika baadhi ya mataifa yakiongozwa na Kwame Nkrumah wa Ghana, Julius Nyerere wa Tanganyika baadaye Tanzania , Taffawa Balewa wa Nigeria, Ahmed Sekou Toure wa Guenea na viongozi wengine walikuwa na ndoto za kuliunganisha bara hili kuwa nchi moja.
Lakini ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa mataifa ya Afrika umechelewesha kutimia kwa ndoto hiyo.
Naungana na wazo lako, waafrika tukiamua kuweka ubinafsi pembeni tutafikia lengo hilo.
 
Kama si Wakoloni, huenda Tanganyika kwa sasa ingekuwa ni nchi ndogo sana au kubwa sana kuliko ilivyo sasa.

Isingelikuwa Wakoloni, huenda Arusha na Kilimanjaro zingekuwa nchi zinazojitegemea!

Isingelikuwa ukoloni, huenda Rwanda na Burundi zingekuwa nchi moja au zingekuwa moja ya mikoa ya Tanganyika!

Isingelikuwa ukoloni, huenda bara la Afrika lingekuwa na mataifa mengi zaidi au machache zaidi kuliko ilivyo sasa.

Hii ni kwa sababu Waafrika wangejitengenezea mipaka ya nchi zao kwa kuangalia uhitaji walio nao na si matakwa ya Wazungu.

Huenda leo hii usingekuta kabila moja linapatikana zaidi ya nchi moja. Kwa sasa utakuta:

1. Mmasai wa Kenya na Tanzania!
2. Mmakonde wa Tanzania na Msumbiji!
3. Mjaluo wa Tanzania na Kenya!
4. Mkurya wa Tanzania na Kenya!
5. "Mhaya" wa Tanzania na Uganda!
6. "Muangaza " wa Tanzania na Rwanda!
7. "Muha" wa Tanzania na Burundi, n.k.

Japo mipaka tuliwekewa na Wazungu, tumeziheshimu sana kiasi kwamba hatupo tayari kurekebisha kwa namna yoyote ile. Ni kama vile tunajivunia kazi tukuka tuliyofanyiwa na Wazungu ya kutuamulia mipaka ya nchi zetu na hata majina ya baadhi ya Mataifa yetu. Ndiyo maana kipindi fulani Tanzania na Malawi zilitaka kuingia kwenye mtafaruk wa kugombea Ziwa Nyasa. Kisa? Ramani ya Mzungu iliwawmbia watu wa Malawi kuwa hilo Ziwa ni mali yao.

Japo Afrika ni moja lakini kuingia baadhi ya nchi ni mpaka viza. Unaweza ukakuta nchi zingine za Kiafrika Mzungu wa Ulaya ana urahisi wa kuingia kumzidi Mwafrika anayeishi Afrika.

Mbona Wazungu wamejitengenezea utaratibu huko kwao unaowawezesha kusafiri kirahisi bila bughudha ndani ya bara lao zurila Ulaya?

Mbona Wazungu wameweza kuwa na sarafu moja?

Mbona Wazungu wa Ulaya wameweza kuuimarisha umoja wao kwa manufaa yao?

Sisi tungali tunatii kile kilichofanywa na Wazungu: wagawe ili uwatawale? (Divide and rule). Tuneshindwa kuondokana na athari za ukoloni ndani ya bara letu lililo Bora duniani?

Ili kuonesha kuwa tumeamua kuachana na ukoloni, kwa nini hatujarekebisha au kuondoa kabisa mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

Kwa nini hatujaachana na kila kitu cha kikoloni ikiwemo mipaka ya "kimagumashi" waliyotuwekea?
Changamoto ulizozieleza zinajibiwa humohumo kwenye sledi yako pale tu ulipoanza na neno "mbona"!Mbona zako zote ndiyo majibu yenyewe.
 
Miaka ya mwanzo ya uhuru wa bara la Afrika baadhi ya mataifa yakiongozwa na Kwame Nkrumah wa Ghana, Julius Nyerere wa Tanganyika baadaye Tanzania , Taffawa Balewa wa Nigeria, Ahmed Sekou Toure wa Guenea na viongozi wengine walikuwa na ndoto za kuliunganisha bara hili kuwa nchi moja.
Lakini ubinafsi wa baadhi ya viongozi wa mataifa ya Afrika umechelewesha kutimia kwa ndoto hiyo.
Naungana na wazo lako, waafrika tukiamua kuweka ubinafsi pembeni tutafikia lengo hilo.
Waliokuwa wanafikira Africa inaweza kuwa moja walikuwa wanaota ndoto za Alinacha
 
Isingeweza kutokea na haitakaa itokee, kama tu jumuiya za kikanda kama EAC, ECOWAS na SADC ni tia maji tia maji ndio itakuwa Africa moja hiyo waliyokuwa wanaiota Nkurumah na Gaddafi?!
Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" wa Wazungu milele.

Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough"
 
Watu weusi wamelaanika, Ingelitungezea matatizo tu ya kupigana wenyewe kwa wenyewe
 
Kama si Wakoloni, huenda Tanganyika kwa sasa ingekuwa ni nchi ndogo sana au kubwa sana kuliko ilivyo sasa.

Isingelikuwa Wakoloni, huenda Arusha na Kilimanjaro zingekuwa nchi zinazojitegemea!

Isingelikuwa ukoloni, huenda Rwanda na Burundi zingekuwa nchi moja au zingekuwa moja ya mikoa ya Tanganyika!

Isingelikuwa ukoloni, huenda bara la Afrika lingekuwa na mataifa mengi zaidi au machache zaidi kuliko ilivyo sasa.

Hii ni kwa sababu Waafrika wangejitengenezea mipaka ya nchi zao kwa kuangalia uhitaji walio nao na si matakwa ya Wazungu.

Huenda leo hii usingekuta kabila moja linapatikana zaidi ya nchi moja. Kwa sasa utakuta:

1. Mmasai wa Kenya na Tanzania!
2. Mmakonde wa Tanzania na Msumbiji!
3. Mjaluo wa Tanzania na Kenya!
4. Mkurya wa Tanzania na Kenya!
5. "Mhaya" wa Tanzania na Uganda!
6. "Muangaza " wa Tanzania na Rwanda!
7. "Muha" wa Tanzania na Burundi, n.k.

Japo mipaka tuliwekewa na Wazungu, tumeziheshimu sana kiasi kwamba hatupo tayari kurekebisha kwa namna yoyote ile. Ni kama vile tunajivunia kazi tukuka tuliyofanyiwa na Wazungu ya kutuamulia mipaka ya nchi zetu na hata majina ya baadhi ya Mataifa yetu. Ndiyo maana kipindi fulani Tanzania na Malawi zilitaka kuingia kwenye mtafaruk wa kugombea Ziwa Nyasa. Kisa? Ramani ya Mzungu iliwawmbia watu wa Malawi kuwa hilo Ziwa ni mali yao.

Japo Afrika ni moja lakini kuingia baadhi ya nchi ni mpaka viza. Unaweza ukakuta nchi zingine za Kiafrika Mzungu wa Ulaya ana urahisi wa kuingia kumzidi Mwafrika anayeishi Afrika.

Mbona Wazungu wamejitengenezea utaratibu huko kwao unaowawezesha kusafiri kirahisi bila bughudha ndani ya bara lao zurila Ulaya?

Mbona Wazungu wameweza kuwa na sarafu moja?

Mbona Wazungu wa Ulaya wameweza kuuimarisha umoja wao kwa manufaa yao?

Sisi tungali tunatii kile kilichofanywa na Wazungu: wagawe ili uwatawale? (Divide and rule). Tumeshindwa kuondokana na athari za ukoloni ndani ya bara letu ambalo ni bara bora na tajiri duniani?

Ili kuonesha kuwa tumeamua kuachana na ukoloni, kwa nini hatujarekebisha au kuondoa kabisa mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

Kwa nini hatujaachana na kila kitu cha kikoloni ikiwemo mipaka ya "kimagumashi" waliyotuwekea?
Tukifuta mipaka ya Berlin Africa haitaisha vita
 
Kama si Wakoloni, huenda Tanganyika kwa sasa ingekuwa ni nchi ndogo sana au kubwa sana kuliko ilivyo sasa.

Isingelikuwa Wakoloni, huenda Arusha na Kilimanjaro zingekuwa nchi zinazojitegemea!

Isingelikuwa ukoloni, huenda Rwanda na Burundi zingekuwa nchi moja au zingekuwa moja ya mikoa ya Tanganyika!

Isingelikuwa ukoloni, huenda bara la Afrika lingekuwa na mataifa mengi zaidi au machache zaidi kuliko ilivyo sasa.

Hii ni kwa sababu Waafrika wangejitengenezea mipaka ya nchi zao kwa kuangalia uhitaji walio nao na si matakwa ya Wazungu.

Huenda leo hii usingekuta kabila moja linapatikana zaidi ya nchi moja. Kwa sasa utakuta:

1. Mmasai wa Kenya na Tanzania!
2. Mmakonde wa Tanzania na Msumbiji!
3. Mjaluo wa Tanzania na Kenya!
4. Mkurya wa Tanzania na Kenya!
5. "Mhaya" wa Tanzania na Uganda!
6. "Muangaza " wa Tanzania na Rwanda!
7. "Muha" wa Tanzania na Burundi, n.k.

Japo mipaka tuliwekewa na Wazungu, tumeziheshimu sana kiasi kwamba hatupo tayari kurekebisha kwa namna yoyote ile. Ni kama vile tunajivunia kazi tukuka tuliyofanyiwa na Wazungu ya kutuamulia mipaka ya nchi zetu na hata majina ya baadhi ya Mataifa yetu. Ndiyo maana kipindi fulani Tanzania na Malawi zilitaka kuingia kwenye mtafaruk wa kugombea Ziwa Nyasa. Kisa? Ramani ya Mzungu iliwawmbia watu wa Malawi kuwa hilo Ziwa ni mali yao.

Japo Afrika ni moja lakini kuingia baadhi ya nchi ni mpaka viza. Unaweza ukakuta nchi zingine za Kiafrika Mzungu wa Ulaya ana urahisi wa kuingia kumzidi Mwafrika anayeishi Afrika.

Mbona Wazungu wamejitengenezea utaratibu huko kwao unaowawezesha kusafiri kirahisi bila bughudha ndani ya bara lao zurila Ulaya?

Mbona Wazungu wameweza kuwa na sarafu moja?

Mbona Wazungu wa Ulaya wameweza kuuimarisha umoja wao kwa manufaa yao?

Sisi tungali tunatii kile kilichofanywa na Wazungu: wagawe ili uwatawale? (Divide and rule). Tumeshindwa kuondokana na athari za ukoloni ndani ya bara letu ambalo ni bara bora na tajiri duniani?

Ili kuonesha kuwa tumeamua kuachana na ukoloni, kwa nini hatujarekebisha au kuondoa kabisa mipaka tuliyowekewa na Wakoloni?

Kwa nini hatujaachana na kila kitu cha kikoloni ikiwemo mipaka ya "kimagumashi" waliyotuwekea?
This is Positive critical thinking.
Congratulations...💥💥💥👍👍👍
Na hiki ndicho kinachoitesa Congo DRC...... Mashariki ya Congo kwa logic za haraka sio Mali ya Congo ni sehemu ya urithi wa Nchi Jirani Rwanda, Uganda na Burundi Kwa maana ya wakazi wa maeneo hayo..
Mipaka iliwekwa ili kuzuia walio karibu na fursa kuzikosa ili walio mbali wenye mamlaka waamue watakavyo.
 
Niombe Moderators waifanyie whistle blowing mada za namna zenye lengo la kukuza na kuboresha dhima nzima ya Pan Africanism movement.
cc.AU-HQ
 
Waliokuwa wanafikira Africa inaweza kuwa moja walikuwa wanaota ndoto za Alinacha
Mtu anaposema Afrika iwe nchi moja au moja na anatoa mfano wa EU huwa sijui namtazamaje.

Uingereza yenyewe tu waliona EU inawaletea joto wakaachana nayo.
 
Back
Top Bottom