Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Ni vizuri kuota.Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" vya Wazungu milele.
Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough"
Hata Africa ikiongozwa na waafrika wenyewe bila vibaraka wa wazungu wala wa Asia, Afrika moja bado ni ndoto tu za mchana.