Mto Songwe JF-Expert Member Joined Jul 17, 2023 Posts 6,683 Reaction score 14,060 Jun 1, 2024 #21 GoldDhahabu said: Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" vya Wazungu milele. Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough" Click to expand... Ni vizuri kuota. Hata Africa ikiongozwa na waafrika wenyewe bila vibaraka wa wazungu wala wa Asia, Afrika moja bado ni ndoto tu za mchana.
GoldDhahabu said: Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" vya Wazungu milele. Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough" Click to expand... Ni vizuri kuota. Hata Africa ikiongozwa na waafrika wenyewe bila vibaraka wa wazungu wala wa Asia, Afrika moja bado ni ndoto tu za mchana.
S stormryder JF-Expert Member Joined Mar 23, 2013 Posts 3,776 Reaction score 5,786 Jun 1, 2024 #22 GoldDhahabu said: Unataka kusema Wazungu ndiyo walioleta amani Afrika? Click to expand... Hapana, mataifa ya Africa yalikuwa madogo na mengi sana... Rasilimali zingekuwa changamoto. Just like European countries zilivowahi kuwa na Serikali
GoldDhahabu said: Unataka kusema Wazungu ndiyo walioleta amani Afrika? Click to expand... Hapana, mataifa ya Africa yalikuwa madogo na mengi sana... Rasilimali zingekuwa changamoto. Just like European countries zilivowahi kuwa na Serikali
M Maghayo JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 20,307 Reaction score 47,210 Jun 1, 2024 #23 GoldDhahabu said: Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" wa Wazungu milele. Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough" Click to expand... Kizazi kipi mkuu? Wakati hata kunya tu hatunyi ipasavyo!
GoldDhahabu said: Labda kama Afrika itaendelea kuongozwa na "vibaraka" wa Wazungu milele. Kinyume na hapo,, kitakuja kuibuka kizazi kitakachosema "enough is enough" Click to expand... Kizazi kipi mkuu? Wakati hata kunya tu hatunyi ipasavyo!
GoldDhahabu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2023 Posts 7,189 Reaction score 10,375 Jun 1, 2024 Thread starter #24 Maghayo said: Kizazi kipi mkuu? Wakati hata kunya tu hatunyi ipasavyo! Click to expand... Maghayo, alumni wa Stanford University, hebu tuibie mbinu za "kule" zilizowasaidia wao kuwa walivyo!
Maghayo said: Kizazi kipi mkuu? Wakati hata kunya tu hatunyi ipasavyo! Click to expand... Maghayo, alumni wa Stanford University, hebu tuibie mbinu za "kule" zilizowasaidia wao kuwa walivyo!
Rilley Senior Member Joined Oct 9, 2019 Posts 121 Reaction score 129 Jun 1, 2024 #25 Watanzania hawapendi waafrika wenzao kila wakiwaona wanadhani ni madini yao wamekuja kuibiwa. Na ujuha huu unadhani utakaa uone Africa ikiungana?
Watanzania hawapendi waafrika wenzao kila wakiwaona wanadhani ni madini yao wamekuja kuibiwa. Na ujuha huu unadhani utakaa uone Africa ikiungana?
GoldDhahabu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2023 Posts 7,189 Reaction score 10,375 Jun 23, 2024 Thread starter #26 Eng. Zezudu said: Walichofanya wazungu ni sahihi kabisa, mana wazungu walistarabika kabla yetu Click to expand... Hapana! Rwanda na Burundi zilipaswa kuwa sehemu ya Tanganyika!
Eng. Zezudu said: Walichofanya wazungu ni sahihi kabisa, mana wazungu walistarabika kabla yetu Click to expand... Hapana! Rwanda na Burundi zilipaswa kuwa sehemu ya Tanganyika!