Ikiwa unafanya jambo ukishamaliza nafsi inakusuta.....Hilo jambo achana nalo

Ikiwa unafanya jambo ukishamaliza nafsi inakusuta.....Hilo jambo achana nalo

Madhara yake ni makubwa au utaishia kudharirika huko mbeleni.Moyo haudanganyi ....kama ni tamaa zakupa nguvu na ukishatimiza unajutia bas Hilo jambo acha mara Moja

Kama unapiga nyeto...usipoacha nguvu za kiume kukupotea kutakuumbua
Unalala na housegal....mimba au ukimwi utakuumbua na ndoa Chali
Kama unalala na nduguzo wa damu....acha maana hakuna Siri duniani
Unakula au kuliwa tigo......acha utajaumbuka mbeleni
Unaiba.....acha utakuja umbuka mbeleni wanaua ndugu yangu
Unakula au kuliwa na mume au mke wa mtu.....vikinoga mtajiachia na kukamatwa
Unachepuka na mwanamke mcharuko wampa mimba....anakuvurugia ndoa na amani ya moyo wako....au umezaa na mume wa mtu asiyejali hata familia yake....utachina aisee.....starehe ya dk Moja yakugharimu maisha yote

Ni mengi mabaya tunafanya Ili tusipate majuto mbeleni tuache kutenda dhambi za makusudi ndugu zangu.🙏🙏🙏🙏
Kupiga CHABO
 
Madhara yake ni makubwa au utaishia kudharirika huko mbeleni.Moyo haudanganyi ....kama ni tamaa zakupa nguvu na ukishatimiza unajutia bas Hilo jambo acha mara Moja

Kama unapiga nyeto...usipoacha nguvu za kiume kukupotea kutakuumbua
Unalala na housegal....mimba au ukimwi utakuumbua na ndoa Chali
Kama unalala na nduguzo wa damu....acha maana hakuna Siri duniani
Unakula au kuliwa tigo......acha utajaumbuka mbeleni
Unaiba.....acha utakuja umbuka mbeleni wanaua ndugu yangu
Unakula au kuliwa na mume au mke wa mtu.....vikinoga mtajiachia na kukamatwa
Unachepuka na mwanamke mcharuko wampa mimba....anakuvurugia ndoa na amani ya moyo wako....au umezaa na mume wa mtu asiyejali hata familia yake....utachina aisee.....starehe ya dk Moja yakugharimu maisha yote

Ni mengi mabaya tunafanya Ili tusipate majuto mbeleni tuache kutenda dhambi za makusudi ndugu zangu.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sasa mjomba mbona ulikua na idea nzuri sema ukaharibu ulivoihusianisha na kudinyana.
 
Ukiona unatoka kwenye uzinzi na unamuangalia mkeo/mumeo na kujihisi mkosaji, wewe bado hujawa mzinzi...rudi kundini.
 
Ukiona unatoka kwenye uzinzi na unamuangalia mkeo/mumeo na kujihisi mkosaji, wewe bado hujawa mzinzi...rudi kundini.
🤣🤣🤣 Ni sahihi kabisa mkuu....wokovu unamhusu
 
Back
Top Bottom