Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aibu snHamna rais ametokea kutopendwa na kutoeleweka kama sa 100 lakin ajabu ni kwamba atapita kwa kishindo sana 2025
ushindi huu utatokana na watu wapi au ndio marobot ya watu yatatengenezwa?
Halafu unateuaje ukiwa nje ya nchi?Kumlaumu SSH kwa teuzi hizo ni kupoteza muda. Mfumo mzima wa ccm umekomaza fuvu hautaki mabadiliko ya Katiba.
Katiba Mpya itakuwa na fursa ya kuweka taratibu za teuzi!
Yaani iweje unateua teua tu ovyo ovyo?
Yaani kumbe wanaoteuliwa hawajulikani walipo na wala hawafanyiwi mahojiano ya Hana kwa hana?
Upo sahihi!! Ila kama CCM watampitisha basi tutajua hicho siyo chama Tena bali ni Genge la WahuniTuombe tu hiyo 2025 ifike salama.
Kuhusu tutavukaje mto, tutajadili tukiufikia salama!!
Bila Katiba Mpya ccm wataendelea kufanya mengi ya ovyoHalafu unateuaje ukiwa nje ya nchi?
Labda nikumbushe tu, hiyo sukuma gang unayoikashifu Kila siku iliweza kufanya kazi mpaka Dunia ikafilisika.Huyo Slow slow hana lolote zaidi ya usukuma gang. Swala la kumteua marehemu ni tatizo kubwa
Kwa hiyo tuendelee kuwapuuza nchi ikiendelea kuuzwa?Sioni shida hapo,
Wao wenyewe ni km maiti, hawaelewi kinachoendelea.
Nyie mnaowaona timamu ndo mnapata shida shida.
Mada hii haiongelei Malaika,Jiwe alimteua la saba kuwa Mkurugenzi TPDC.
Sijui ni kwanini mwendazake anaonekana malaika ila sa100 ni mkosaji.
Hata jiwe alikuwa na makosa sana!
anaenda fungua mipaka nakuita wawekezajiIf the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind....☹️
Ni-pm basi hizo mamboNinazo mbona? Tatizo kuandika hizo ni msala.
Mwaka 1961 tulipopata uhuru,If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their mind....☹️
Unahitaji kuhudhuria Maziko Ili ihakikishe?Mwandishi una uhakika uyo mtu amefariki.........au siku hizi waliofariki nao wanaongizwa kwenye teuzi
Mnamuonea Bure tu ,kiongozi ni taswira ya anaowaoongoza ,kama sisi wenyewe tumeshindwa kuwa siriasi nani atatuchukulia siriasi?.Leo hii huyu SA100 kama unampa awe mkuu wa wilaya bado itamshinda Tu sembuse kuongoza nchi?
Maza Kwakifupi hakuna kitu anachojua ni kama boya Tu baharini
Nchi ya kipuuzi snBila Katiba Mpya ccm wataendelea kufanya mengi ya ovyo
Kosa kweli ni letuMnamuonea Bure tu ,kiongozi ni taswira ya anaowaoongoza ,kama sisi wenyewe tumeshindwa kuwa siriasi nani atatuchukulia siriasi?.
BI mkubwa endelea hapo hapo mpaka akili zitukae sawa