Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Nchi tamu sana. Wenye shida ya ajira hawaajiriwi marehem aliyekua na ajira amebadilishiwa ajira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa sio ya kweli hakuna darasa la saba amewahi kuteulowa kuwa mkurugenzi TPDC hata hivyo natoa benefit of doubt kutukumbusha alikua nani huyo na lini
sababu magufuli alimkuta Dr.mataragio akiwa mkurugenzi tpdc baada ya muda alipata shida akasimamishwa kazi baadae akaendelea na kazi hadi magufuli anafariki
mama Samia alipoingia baada ya muda akamtengua nafasi yake akateuliwa yule ndugu Thobias Mweesiga ambae alikua uvccm udom, baada ya kugundua makosa yamefanyika mama Samia akamtengua huyu kijana ndani ya masaa machache na kumrudisha Dr.Mataragio ambae aliendanae hadi baadae alipomteua Bw. Mussa Makame kuwa mkurugenzi ambae ndio yupo hadi sasa
Nimekubali magufuli alimteua rasa la saba kuwa mkurugenzi wa tpdc? Wapi nimesema hivyo kwenye hiyo comment? Hata huyo kijana wa uvccm ambae mama Samia alifanya makosa kumteua hakuwa darasa la saba.Sasa unakunusha na kukubali hapo hapo?
Haha... Tuendelee na za entertainment tu.Ninazo mbona? Tatizo kuandika hizo ni msala.
Unajuaje kama unalolihofia halijafanyika?Salaam, Shalom!!
Kusaini mikataba inayohusu nchi kunahitaji Umakini wa Hali ya juu, mikataba yenyewe ni very technical na inahitaji muda kuusoma na kujua hila za vifungu vya mikataba vinavyoweza kuiumiza nchi yetu,
Sasa viongozi wetu wameonyesha hawana Umakini wowote, maana kiutaratibu, ukimteua kiongozi, ni sharti umtaarifu na kumuuliza ikiwa ataafiki kabla ya kutangaza, sasa ikiwa wamemteua mtu aliye mortuary kuwa kiongozi wetu, wanaweza kabisa kutegewa ka kifungu fake kanakoongelea wageni kununua nchi yetu yote, na kwa kuwa lugha ni ngumu na huwa hawasomi na hawana Umakini watasaini tu.
Naleta HOJA mezani ya kuwapiga pin viongozi wetu wasisaini mikopo kwa niaba yetu maana yawezakuwa huwa hawazingatii masharti nyuma ya mikopo hiyo, ndiyo maana vitabu vinavyohamasisha uchafu, ushoga kwa watoto wetu vinazagaa mashuleni na mitaani!
Ushauri: Iundwe Taasisi huru yenye wataalamu wabobevu watakaohusika na kupitia vetting na mikataba yote ya nchi kabla ya kusainiwa Ili kulinda Nchi yetu.
Swali: Ni nani wa kumfunga paka kengele?
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Utekelezaji wa ushauri huu Kwa ukamilifu,Ushauri: Iundwe Taasisi huru yenye wataalamu wabobevu watakaohusika na kupitia vetting na mikataba yote ya nchi kabla ya kusainiwa Ili kulinda Nchi yetu.
Ushauri mzuri:
sema usije shangaa taasisi iina wataalamu bobevu kina Dr Kumbuka, baba levo, mwijaku, stive nyerere, gigy money, masha love, na amba ruti
Jamaa wako makini kufutilia nyendo za viongozi wa upinzani haya mengine hayawahusuIla kusemakweli hatuna usalama wa taifa.Mbona nasikia huwa wanatoa taarifa kwa rais Kila siku walishindwaje kujua kiongozi mteule amekufa?
Wewe ni muongo tu,tutajie Magufuli alimteua Nani darasa la Saba kushika wadhifa wa ukurugenzi pale Tpdc,huyu kawaweka wote walioshika madaraka kabla ya Magufuli na baada ya Magufuli darasa la saba ni yupi hapo?Kubalini kipenzi chenu Samia ni uwezo mdogo kumfananisha na Magufuli ni kumvujia eshima Magufuli.Maana nimeona humu Samia hakiboronga mnaokoteza visababu kuonyesha Magufuli naye aliisha wahi kufanya hivyo.Sasa unakunusha na kukubali hapo hapo?
🥲🥲🥲Ushauri: Iundwe Taasisi huru yenye wataalamu wabobevu watakaohusika na kupitia vetting na mikataba yote ya nchi kabla ya kusainiwa Ili kulinda Nchi yetu.
Ushauri mzuri:
sema usije shangaa taasisi iina wataalamu bobevu kina Dr Kumbuka, baba levo, mwijaku, stive nyerere, gigy money, masha love, na amba ruti
Sio Jiwe ni huyuhuyu mama baada ya kuingia tuJiwe alimteua la saba kuwa Mkurugenzi TPDC.
Sijui ni kwanini mwendazake anaonekana malaika ila sa100 ni mkosaji.
Hata jiwe alikuwa na makosa sana!
Mnoo lo