Ikiwa wameweza kumteua marehemu, viongozi wetu wazuiwe kutukopea na kusaini mikataba, watauza Nchi!

Nchi tamu sana. Wenye shida ya ajira hawaajiriwi marehem aliyekua na ajira amebadilishiwa ajira.
 

Sasa unakunusha na kukubali hapo hapo?
 
Sasa unakunusha na kukubali hapo hapo?
Nimekubali magufuli alimteua rasa la saba kuwa mkurugenzi wa tpdc? Wapi nimesema hivyo kwenye hiyo comment? Hata huyo kijana wa uvccm ambae mama Samia alifanya makosa kumteua hakuwa darasa la saba.

Nimekuomba utuambie ni darasa la saba gani amewahi kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa tpdc, usitake kukwepa swali maana huku mtandaoni huwa mna tabia ya kuongopa kutuona wote hakuna tunalojua. Tunasubiri majina na mwaka wa huyo darasa la saba aliyeteuliwa
 
Unajuaje kama unalolihofia halijafanyika?

Ila Ikulu imezidi kutia aibu!
1. Alishawahi kuteuliwa Form Four Leaver nafasi ya ukaribu tawala na kutengukiwa muda mfupi baadaye baada ya kufahamika kuwa ni kada tu ila hajashule!

2. Wakati wa kutangaza msiba wa Mwinyi, Rais alisikika akielekeza sehemu ya hotuba yake kufutwa bila kujua kuwa alikuwa "live". Yote hayo ni kwa sababu ya ukosefu wa umakini wa watumishi wa Ikulu.

Inawezekana wamepata hizo nafasi si kwa sababu wana sifa bali wanafahamika.
 
Ushauri: Iundwe Taasisi huru yenye wataalamu wabobevu watakaohusika na kupitia vetting na mikataba yote ya nchi kabla ya kusainiwa Ili kulinda Nchi yetu.

Ushauri mzuri:
sema usije shangaa taasisi iina wataalamu bobevu kina Dr Kumbuka, baba levo, mwijaku, stive nyerere, gigy money, masha love, na amba ruti
 
Utekelezaji wa ushauri huu Kwa ukamilifu,

Ni tupambanie KATIBA mpya itokanayo na Rasimu aliyosimamia Judge Warioba, tena ipatikane kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Suluhisho kuu nchi hii ni katiba mpya iliyojitosheleza. Tutarukaruka tunavyoweza, ila tusipokubaliana na hilo tunapoteza muda tu kushangaa.

Tuna viongozi mizigo kwa sababu sisi ni jamii ya mizigo
 
Sasa unakunusha na kukubali hapo hapo?
Wewe ni muongo tu,tutajie Magufuli alimteua Nani darasa la Saba kushika wadhifa wa ukurugenzi pale Tpdc,huyu kawaweka wote walioshika madaraka kabla ya Magufuli na baada ya Magufuli darasa la saba ni yupi hapo?Kubalini kipenzi chenu Samia ni uwezo mdogo kumfananisha na Magufuli ni kumvujia eshima Magufuli.Maana nimeona humu Samia hakiboronga mnaokoteza visababu kuonyesha Magufuli naye aliisha wahi kufanya hivyo.
 
🥲🥲🥲
 
Jiwe alimteua la saba kuwa Mkurugenzi TPDC.

Sijui ni kwanini mwendazake anaonekana malaika ila sa100 ni mkosaji.

Hata jiwe alikuwa na makosa sana!
Sio Jiwe ni huyuhuyu mama baada ya kuingia tu
 
Kweli na yeye alikubali kuingia mkenge? Kama ni hivyo vitakuwa vingi vimepita kwa muelekeo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…