hernanes96
Member
- May 2, 2015
- 16
- 6
ticha kawaambia wanafunzi wataje kazi za wazazi wao
watoto wengi walitaja kazi za wazazi kuwa ni waajiriwa serikalini na wengine wamejiajiri
ilipofika zamu ya john hali ilikua hivi;
john; baba simjui ila mama anajiuza usiku kila siku
ticha; haraka nenda ofisi ya mwalimu mkuu ukamweleze hayo ya mzazi wako,halafu urudi hapa sasa hivi
punde john akarudi anacheka huku anakula chocolate
ticha; kasemaje?
john; kasema nimtajie namba ya simu ya mama!!
kama ticha ungekua ni wewe ungefanya nini??
watoto wengi walitaja kazi za wazazi kuwa ni waajiriwa serikalini na wengine wamejiajiri
ilipofika zamu ya john hali ilikua hivi;
john; baba simjui ila mama anajiuza usiku kila siku
ticha; haraka nenda ofisi ya mwalimu mkuu ukamweleze hayo ya mzazi wako,halafu urudi hapa sasa hivi
punde john akarudi anacheka huku anakula chocolate
ticha; kasemaje?
john; kasema nimtajie namba ya simu ya mama!!
kama ticha ungekua ni wewe ungefanya nini??