ikiwa wewe ndo ticha utafanyaje?

ikiwa wewe ndo ticha utafanyaje?

hernanes96

Member
Joined
May 2, 2015
Posts
16
Reaction score
6
ticha kawaambia wanafunzi wataje kazi za wazazi wao
watoto wengi walitaja kazi za wazazi kuwa ni waajiriwa serikalini na wengine wamejiajiri
ilipofika zamu ya john hali ilikua hivi;
john; baba simjui ila mama anajiuza usiku kila siku

ticha; haraka nenda ofisi ya mwalimu mkuu ukamweleze hayo ya mzazi wako,halafu urudi hapa sasa hivi

punde john akarudi anacheka huku anakula chocolate

ticha; kasemaje?

john; kasema nimtajie namba ya simu ya mama!!

kama ticha ungekua ni wewe ungefanya nini??
 
Back
Top Bottom