mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Tumesikia mengi na tunaendelea kusikia mengi kutoka kwa wagombea wa vyama vyote sasa na mwisho tukafanye maamuzi sahihi kwa kuchagua viongozi sahihi watakao weza kushirikiana na wananchi kwa maslahi ya sasa ya taifa letu na kwa vizazi vijavyo
Tukumbushane kuandaa kadi zetu sasa na kuhimizana kila mtanzania anaekidhi vigezo kwenda kupiga kura tarehe 28
Tuwaombee wagombea wetu wa vyama vyote katika ngazi zote kuanzia udiwani, ubunge na urais; Mwenyezi Mungu awajaalie afya na amani ili tuweze kukamilisha zoezi hili kikatiba
Mwenyezi Mungu atujalie watanzania wote afya njema, atuepushe na majanga ya aina yoyote ili tuweze kutimiza wajibu huu wa kuchagua viongozi bora watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania
Tukumbushane kuandaa kadi zetu sasa na kuhimizana kila mtanzania anaekidhi vigezo kwenda kupiga kura tarehe 28
Tuwaombee wagombea wetu wa vyama vyote katika ngazi zote kuanzia udiwani, ubunge na urais; Mwenyezi Mungu awajaalie afya na amani ili tuweze kukamilisha zoezi hili kikatiba
Mwenyezi Mungu atujalie watanzania wote afya njema, atuepushe na majanga ya aina yoyote ili tuweze kutimiza wajibu huu wa kuchagua viongozi bora watakaotuongoza kwa miaka mitano ijayo
Maendeleo hayana vyama
Mungu ibariki Tanzania