Nimelazimika kuuliza swali hili maana kuna msela wangu mtu mzima kabisa na mwenye familia amekuja kwangu kuniomba ushauri wa nini afanye ili aweze kuacha kwenda kwenye mabonanza angalau kwa wiki moja tu
Amenieleza mambo mengi sana ambayo mengine siwezi kuyaongea hapa maana mimi bado sijaleft group la wanaume
Kiufupi kaniambia kuwa hata akilala usiku anaota yuko kwenye mabonanza na eti akienda kucheza hata akiwa amekula laki hawezi kabisa kuwa na ujasiri wa kusimama na kuondoka bali huhisi kama kuna msukumo unamsukuma aendelee kucheza
Sasa nimekuja kwenu wadau mnieleze japo kwa ufupi je upo uwezekano wa wachina kuyafanyia matambiko haya matoy ili kuwafanya wachezaji kama mazuzu wasiokuwa na ujasiri wa kuyaacha
Please uncle Mshana Jr njoo huku upesi upesi kwa ushauri
Amenieleza mambo mengi sana ambayo mengine siwezi kuyaongea hapa maana mimi bado sijaleft group la wanaume
Kiufupi kaniambia kuwa hata akilala usiku anaota yuko kwenye mabonanza na eti akienda kucheza hata akiwa amekula laki hawezi kabisa kuwa na ujasiri wa kusimama na kuondoka bali huhisi kama kuna msukumo unamsukuma aendelee kucheza
Sasa nimekuja kwenu wadau mnieleze japo kwa ufupi je upo uwezekano wa wachina kuyafanyia matambiko haya matoy ili kuwafanya wachezaji kama mazuzu wasiokuwa na ujasiri wa kuyaacha
Please uncle Mshana Jr njoo huku upesi upesi kwa ushauri