Nitangulie kwa kusema mie ni mfanyabiasha ninayefanya biashara kisheria.
Masikitiko yangu ni kuhusu suala la kuruhusu wanaoitwa machinga kuziba biashara zetu, ivi sie haki yetu iko wapi?
Mie nimepanga frem nalipa kodi ya frem,
Mie ninalipia TRA mapato
Mie nalipia leseni ya biashara
Etc
Then inakuwaje mie sionekani thamani yangu na anaonekana machinga anaruhusiwa kuziba biashara yangu kiasi kwamba hata njia ya wateja kufika Dukani kwangu au mie Mwenye Duka kupata hata nafasi ya kushushia mzigo kuingiza dukani.
Ivi mie haki yangu ni ipi? Wapi nikatoe malalamiko?
Kwanini hatuonekani sie?
Mie ninatii sheria kisha mwingine kwa kivuli cha umachinga anajenga kabisa kibanda mbele ya mlango.
Haki yetu ikoje.
Inaniuma sana aise
Masikitiko yangu ni kuhusu suala la kuruhusu wanaoitwa machinga kuziba biashara zetu, ivi sie haki yetu iko wapi?
Mie nimepanga frem nalipa kodi ya frem,
Mie ninalipia TRA mapato
Mie nalipia leseni ya biashara
Etc
Then inakuwaje mie sionekani thamani yangu na anaonekana machinga anaruhusiwa kuziba biashara yangu kiasi kwamba hata njia ya wateja kufika Dukani kwangu au mie Mwenye Duka kupata hata nafasi ya kushushia mzigo kuingiza dukani.
Ivi mie haki yangu ni ipi? Wapi nikatoe malalamiko?
Kwanini hatuonekani sie?
Mie ninatii sheria kisha mwingine kwa kivuli cha umachinga anajenga kabisa kibanda mbele ya mlango.
Haki yetu ikoje.
Inaniuma sana aise