Narudia tena mtaishia hivyohivyo?! Kumbe unaiponda UDOSO kisa ya hicho ki-research chako kwa nini walikuwa wanashindwa kuzuia MIGOMO?! We ulikuja kufanya research mi nilikuwa kwenye system..nina doubt ka ulienda kufanya reseach ila ulienda kutembelea washkj.Hao wakn Ambrose na Singo walikuwa ni Marais wa collage ya Social Sciences na sio UDOM.. Af soma post yangu vizuri, nilichosema mi nimegraduate pale na nilikuwa Waziri, So vitu vingi nilivyokuwa vinaendelea navijua..Ningekuona wa maana ka ungekuja na sababu kwa nini elimu ya pale mbovu..
1.Kwa nini wazuie migomo ka watu wanasababu za kugoma!?
2. Kuhusu products za UDOM kuwa hafifu, huwezi kutoa conclusion kwa chuo ambacho kimetoa products mara mbili na product moja tu ndo ipo kwenye soko la ajira
3. Kwa bahati mbaya sijasikia muajiriwa toka UDOM amekuwa fired kisa kashindwa kafanya kazi...
4. Nyie mliotoka kwenye vyuo vya maana mmefanya issue gani kwa taifa hadi leo hii
5. Graduates wa hivyo vyuo vyenu vya taifa mbona wapo wa kutosha huko mitaani imekuwaje hawana kazi hadi leo?!
6. Unataka kuniambia Marketing, Accounting au Sociology jinsi inavyofundishwa UDSM, MU. SUA ni tofauti na UDOM?!
NB:- Swala la uwezo wa kufikiri ka unavyodai hausababishwi na chuo bali ni juhudi za mtu binafsi na misingi aliojengewa toka mwanzo, manaake hamna sehemu inayofundisha mtu jinsi ya kufikiri,.KWANI HUYU RAIS WENU KASOMA CHUO GANI!? Si regret kwa kusoma pale but naji proud sababu nilichokitalajia nimekipata tena +ve