Iko wapi haki ya wana-udom

Oyo niaje mnatuletea mipasho kwenye mambo ya msingi ebu ongeeni points za msingi,by da way ambao hamjapata pesa ingieni mtambon make suluhisho ni kugoma kwa kwenda mbele
 
Kuna watu wa ajabu sana eti unaiponda Udom kwa lipi baya? Na ikumbukwe kua zile hela alizochangiwa Jk ni pesa hizohizo zilitoka CCM kama milioni 20 ndipo wana CCM UDOM baadhi yao wakakusanyika kumchangia Jk sasa dhana ya kua wana Udom ni CCM nani kakwambieni nyie mnaoiponda Udom? Kwa taarifa zenu tu hao ma Prof na ma Dk waliopo Udom ndio hao walowafundisha nyie sasa kuiponda Udom sio sahihi kwani kuna Taasisi tayari wanazikubali Product za Udom acheni unafiki nami ni Product ya Udom na kazini wananikubali sana hao vijana walosoma Ud,MU etc,tusiwe hvyo wote tuwaTz
 
Poleni udom,usaliti wenu kwa wenzenu waliofukuzwa unawatafuna.
 
naijua Udom zaidi ya unavoijua..sipotoshi kijana..nasema nachokijua,ku graduate udom haimanishi unaijua sana...chuo cha kata kile kwa ajil ya degree za vodafasta,mtaishia kukichangia chama tu.

Huijui Udom thats why unahara kwa mdomo. Its to bad mtu mzima kugeneralize mambo ka mtoto mdogo! Badilika mxx....!
 

Thank u! Umemjibu vizuri mpaka nimesisimka! Niko UDOM and am proud to be here cuz i knw am fulfiling part of my dreams. Pamoja na mapungufu yake ila naweza kusema udom is the best kwani hata hvyo vyuo vya taifa vilianza kwa tabu hz hz so mtu hawezi jibrag na kareseach kake tena alikokafanyia chimwaga na akanifanya eti nijickie vibaya. Udom ni chuo tena kikuu kwani kisomwacho hapa hakipishani na wanachosoma wengne cjui sua, ud au wapi, same content bt in diferent situations, circumstances, enviroments etc!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…