omary mziray
Member
- Jul 6, 2013
- 29
- 0
hivi wakuu wakowapi hawa wadaau wanaojiita WADAU WAELIMU na wanaopenda kuuza sura kwenye screen zetu za kideo kujafanya et wanatetet ummah huku wanaung'ong'a kwa kujifanya wanatetea elimu ya tanzania inashuku mpaka sasa hawa wadau waelimu ambao kuna haki elimu na wangne kibao mbnah hili la kidato cha tano wanalifumbia macho au hawa wadau wa elimu na wizara ya elimu ni founder wa hizi shule za private ambazo zimeanza kupokea wanafunz wao exactly matokeo ya kidato cha nne yalivyotoka.je moe iko w.