Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kuna siku watu watakuja kulalamika hapa kwanini hawanyi?Kuna mambo mengine sio ya kukuza..
Wakuu.
Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana.
Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?View attachment 2627135
exactly, sasa hili lina maana gani? ndilo tatizo la kuongozwa na mwanamke.Kuna mambo mengine sio ya kukuza..
Rais Mzanzibari na hiyo ni bidhaa ya Mzanzibari mwenzake. Hii awamu ni ya wazanzibari kila sehemuWakuu.
Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana.
Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?View attachment 2627135
Wakuu.
Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana.
Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?View attachment 2627135
"Najisikia nataka kufaint,njoo upesi"Wakuu.
Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana.
Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?View attachment 2627135
Ulitaka waweke bidhaa gani? Kwani ni mara ya kwanza? Mbona kwenye mikutano tunaona kili water,dew drop nk?Wakuu.
Ukitizama vizuri hii picha ya Ikulu, ambayo naamini ilipigwa jana tarehe 18 May 2023, kuna bidhaa fulani ya biashara ya mtu binafsi inaonekana.
Je, hii ni sahihi kwa kiasi gani?View attachment 2627135
Bora huyo mwanamke kuliko mwanaume anaedharau mwanamke.......exactly, sasa hili lina maana gani? ndilo tatizo la kuongozwa na mwanamke.
Anadhraulika kwa vile ana sifa za kudharaulika. Simple!Bora huyo mwanamke kuliko mwanaume anaedharau mwanamke.......
Ni yule bodyguard wa Rais. Mbona wa kawaida Sana tu!!huyo mdada aliyesimama kazuri kweli