Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Sasa kwanini unakelele kama umeona vichwa kibao leo vinakula kiapoNimekujibu swali lako kwamba niliyekuwa nampigia chapuo hana utaalamu wowote na ndio nimekwambia cheo cha urais alichokuwa anagombea hakihitaji utaalamu wowote ,any fool can be a president ili mradi azungukwe na akili kubwa.
Kabisa wanakula fedha za bure tu mafuta ya maviete,resheni,perdiem,marupulupu etc!!Hao mawaziri ni geresha tu,ukweli mchungu ni kwamba mtu mmoja ndiye Rais na ndiye waziri wa wizara zote!
View attachment 1645307
Sasa kwanini unakelele kama umeona vichwa kibao leo vinakula kiapo
Ndio nikakujibu watazungukwa na vichwa wizarani au huelewi nnHakuna vichwa hapo ,tunarusi kule kule mwanzoni kwamba walioteuliwa hawana utaalamu wowote wa kada husika!! Mwalimu wako alipata tabu sana kukuelewesha!! Na ndio maana mnaitwa ZERO BRAIN maana ni wepesi sana kusahau hamna kitu kichwani.
Kwa hiyo hawa ndiyo wachawi wakubwa hapa Tanzania? Sijuwi watakuwa waliua nani mpaka wakaja kupewa wizara....nina imani kwamba viongozi wetu bila uchawi hawafanyi kazi, zamani walikuwa wanateketeza maalbino ili wawe mawaziri ama wabunge. Waone kwanza haooooo, wachawi wakubwa nyie.Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo anaapisha jumla wa Mawaziri 21 baada ya kuwa tayari ameshawaapisha Mawaziri Mawili ambao ni Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philipo Mpango na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi.
Mawaziri wanaotarajia kuapishwa ni
1. Wizara ya Maji - Juma Aweso
2. Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo - Innocent Bashungwa
3. Wizara ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu - Jenister Mhagama
4. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Dkt. Doroth Gwajima
5. Wizara ya Uwekezaji ofisi ya Rais - Profesa Mkumbo Kitila
6. Wizara ya Katiba na Sheria - Dkt. Mwigulu Nchemba
7. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia - Profesa Joyce Ndalichako
8. Wizara ya Mifugo na Uvuvi -Mashimba Mashauri Ndaki
9. Wizara ya Maliasili na Utalii - Dkt. Ndumbalo Damas
10. Ofisi ya Rais TAMISEMI -Suleiman Jaffo
11. Wizara ya Madini - Dotto Biteko
12. Wizara ya Nishati - Dkt. Medard Kalemani
13. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi - Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho
14. Wizara ya Kilimo - Profesa Adolph Mkenda.
15. Wizara Viwanda na Biashara - Mwambie Geofrey Idelphonce
16.Wizara ya Mambo ya Ndani - George Simbachawene
17. Wizara ya Muungano na Mazingira - Ummy Mwalimu
18. Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari - Dkt Faustine Ndugulile
19. Wizara ya Ardhi na Makazi -William Lukuvi
20. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Elias John Kwandikwa
21. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora - Capt Mstaafu George Mkuchika
Kwa hiyo hawa ndiyo wachawi wakubwa hapa Tanzania? Sijuwi watakuwa waliua nani mpaka wakaja kupewa wizara....nina imani kwamba viongozi wetu bila uchawi hawafanyi kazi, zamani walikuwa wanateketeza maalbino ili wawe mawaziri ama wabunge. Waone kwanza haooooo, wachawi wakubwa nyie.
Hapa kwetu ni kupeana ulaji tu kwa gharama za walipa kodi wanyonge. Kenya, waziri ndiye huyohuyo katibu mkuu. Sioni sababu ya kuwa na waziri na naibu waziri kiukweli. Ni kuongezea wananchi mzigo wa kodi kwa ajili ya kuendeshea serikali iliyojaa watu wengi wasio watendaji (redundant)!Usijibu simple tu ,acha bra bra!! Wewe unaojua tufahamishe katibu wa wizara ana JD gani? Je kuna kazi ambazo hawezi kuzifanya mpaka apewe Waziri au N/Waziri?
Vichwa venyewe ndio vyenye veti feki?Ndio nikakujibu watazungukwa na vichwa wizarani au huelewi nn
Ni kweli kabisa wanaongeza gharama kibao kwa wananchi ambapo hizo fedha zingeenda kutumika sehemu nyingine...Imagine Viete 50 +Mafuta zaidi ya Bil 2 tu kwa ajili ya magari+wese ,acha maperdiem,marupurupu,resheni etc.Hapa kwetu ni kupeana ulaji tu kwa gharama za walipa kodi wanyonge. Kenya, waziri ndiye huyohuyo katibu mkuu. Sioni sababu ya kuwa na waziri na naibu waziri kiukweli. Ni kuongezea wananchi mzigo wa kodi kwa ajili ya kuendeshea serikali iliyojaa watu wengi wasio watendaji (redundant)!
Mkuu usipende kuwaamini viongozi serikalini na wabunge....wale ni hatari mno maana wasiporoga wenzao wanawamaliza.Kwa kuwa umezaliwa na wachawi unajua kila nayefanikiwa na mchawi
Mkuu usipende kuwaamini viongozi serikalini na wabunge....wale ni hatari mno maana wasiporoga wenzao wanawamaliza.
Wanasemaga hivi hivi tu kupinga ukweli ila usiku wanaruka na ungo kusaka viungo vya maalbino, asubuhi wakienda makazini macho mekunduuuu.Hizo akili zeni bavicha
Kwanini Jiwe hawapi mikono Mawaziri wake? Jamaa muoga sana