Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

HKigwa ameachwa ili apate wasaa Mzuri wa kujibizana na watu Instagram na Twitter
 
......kwani hawapo katika BARAZA?!!
Mnataka nini zaidi?!!

Watu huteuliwa kwa SIFA NA CV ZAO...

Kalaghabaho
Kuna vitu vingine aibu inatakiwa kuwepo ukweli ni kwamba hawa wenzetu hawajui tu au viongozi wao hawasemi lakini mnawafanyia uhuni sana aiwezekani ktk waisilamu maybe 1000 nchi hii hawana hzo CV mnazotaka unadhani why kuna kubadilishana ktk ngazi ya uraisi ?je siku akija rais mwisilamu ktk watu zaidi ya 49 katanganza wakristo wakawa maybe 10 au 12 mtajisikia poa? Mnawafanyia uhuni sana hawa ndugu zetu sema wenyewe sijui hawaoni ??
 
Bavicha wako bize kujadili baraza la mawaziri.
Silinde na katambi waliona mbali wakaachana na ujinga
 
Akili ndogo unajaribu kuwaza yaliyo nje ya uwezo wako.
Baki na mawazo ujinga yako ya udini
 
Akili ndogo unajaribu kuwaza yaliyo nje ya uwezo wako.
Baki na mawazo ujinga yako ya udini
Sikia mm kwenye haki lazima isemwe usijifiche kwenye kichaka cha udini mm si mwislamu lakini kama haijatendeka haki lazima isemwe aiwezekani ni watu 8 tu nchi hii ni yetu wote lazima uonyeshe uko fair

kwenye teuzi vinaangaliwa vitu vingi kipindi kile yupo JK mbona mlikuwa mnasema ? ukweli ni kwamba hawa wenzetu wamefanywa raia wa daraja la pili japo wenyewe ndo walikuwa wengi ktk kutafuta uhuru wa nchi hii ukweli lazima usemwe mlikuwa mnasema eti hawajasoma haya sasa mnakuja na hoja gani sasa?
 
Kule Zanzibar kwa baraza la mawaziri likoje?
 
VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YA LEO BAADA YA BARAZA LA MAWAZIRI KUTANGAZWA NA RAIS JOHN MAGUFULI JANA
 

Attachments

  • FB_IMG_1607222730191.jpg
    42.5 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607222742357.jpg
    47.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607222674539.jpg
    50.1 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607227449262.jpg
    42.7 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607227458460.jpg
    53.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607222682863.jpg
    54.6 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607222645025.jpg
    52.4 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1607222638567.jpg
    43.2 KB · Views: 1
Kila mtu ana hobby yake, wakati wengine hobby yao ni U'Academist wengine sie macho kwenye pesa tu..

Alafu hizo papers zao zimesaidia nini nchi hii labda?
 
Toa fact ya statistics sio unaongea maneno ya mtaani
Kwani uongo mkuu, Waislamu wengi wlithamini elimu ya dini wakapuuza elimu ya dunia, wakati huo wenzao wakristu kila walipojenga kanisa walijenga na shule. Ndo maana shule nyingi zilizotaifishwa baada ya Uhuru zilikuwa za mission.
 
Nauliza mbunge wangu Rihidhwani amepewa uwaziri wa wizara ip....samahani
 
hatuna mbunge anayeitwa Rihidhiwani kwwnye bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania,
 
Watatu out of 23, does this make sense to you? You can't be serious
it makes sense hii sio nchi ya kidini tunaangalia competence mbona husemi kuhusu wakristo tena wasukuma wenzake aliowapiga chini wakina kanyasu na kigwangala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…