Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Waislam warudi tu kwenye njia zao za kujipatia kipato za asili, uchuuzi mdogo mdogo kuanzia sokoni, magenge mpaka kwenye biashara kubwa za usafirishaji, mafuta (Petrol Stations)

Nigeria walio shika serikali ni Waislam lkn hapa ni Wakristu ndo asili hiyo

Watu watoboe kwenye biashara tu na kazi ambazo hazipo ktk mambo ya serikal maana kuna invisible power ipo nyuma ndo inatakaje yaani sipati picha baraza lote lingekuwa la Waislam afu hao watatu ndo wengineo leo pasingelalika haha

Mtu mweusi anasumbuliwa sana na historia hii

Katiba ina ruhusu kweli kuchagua bila misingi ya dini wala ukanda lakini busara na historia ina nguvu ktk maamuzi ya wote sioni sababu kwa nchi ambayo Waislam na Wakristu hakuna minority afu kuunda baraza kama hili, kwanini watu waache mianya ya chuki kwa busara ya kawaida tu ingetumika

Hivi wale wahubiri kama kina Ponda wakianza kuchanganua hizi fact na kuna baadhi wakaanza kumeza sumu mbaya hauoni kuna mbegu sio nzuri zinaweza kutumiiza wote waliokuwemo na wasiokuwemo

Busara na ushauri mzuri kwa faida ya wote ni muhimu na kuna watu wanatakiwa kumshauri mkuru vzr na je vyombo vyetu vya usalama hasa idara ya usalama wa Taifa hawaoni pia mitego hii ya maamuzi inabyoweza leta hatari kwa wote sisi siku za usoni??
tusimlaumu magu, wakulaumiwa ni bakwata na ma sheikh ubwabwa.
 
Huu upuuzi wa kuwapa watu uwaziri wakati ni wabunge wa kuteuliwa na hawajaapishwa na yule kifupi nyundo ndugai umeanza lini ?
Yaani country inaendeshwa kama kijiwe cha wahuni.
No rule of law no what, yaani mambo yote ni shaghalabaghala
 
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma kuhusu Uteuzi uliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo tarehe 05 Desemba 2020



========
Rais Magufuli pia amewateua kuwa Wabunge Dkt. Dorothy Gwajima(Alikuwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI - Afya) na Dkt. Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi).

Pia Rais Magufuli ameunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.

Orodha ya Mawaziri kama ilivyotangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi.

1. Wizara ya Maji - Juma Aweso

2. Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo - Innocent Bashungwa

3. Wizara ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu - Jenister Mhagama

4. Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Dkt. Doroth Gwajima

5. Wizara ya Uwekezaji ofisi ya Rais - Profesa Mkumbo Kitila

6. Wizara ya Katiba na Sheria - Dkt. Mwigulu Nchemba

7. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia - Profesa Joyce Ndalichako

8. Wizara ya Mifugo na Uvuvi -Mashimba Mashauri Ndaki

9. Wizara ya Maliasili na Utalii - Dkt. Ndumbalo Damas

10. Ofisi ya Rais TAMISEMI -Suleiman Jaffo

11. Wizara ya Madini - Dotto Biteko

12. Wizara ya Nishati - Dkt. Medard Kalemani

13. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi - Mhandisi Dkt Leonard Chamuliho

14. Wizara ya Kilimo - Profesa Adolph Mkenda.

15. Wizara Viwanda na Biashara - Mwambie Geofrey Idelphonce

16.Wizara ya Mambo ya Ndani - George Simbachawene

17. Wizara ya Muungano na Mazingira - Ummy Mwalimu

18. Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya habari - Dkt Faustine Ndugulile

19. Wizara ya Fedha na Mipango - Dkt. Philip Mpango

20.Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki - Profesa Paramagamba Kabudi

21. Wizara ya Ardhi na Makazi -William Lukuvi

22. Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Elias John Kwandikwa

23. Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora - Capt Mstaafu George Mkuchika


Manaibu Waziri

1. Wizara ya Viwanda na Biashara- Kigae Silaoneka

2. Wizara wa Ardhi- Angelina Mabula

3. Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira- Patrobas Katambi

4. Wizara ya Mambo ya Ndani- Hamis Hamza Hamisi

5. Wizara ya Fedha- Mwanaida Ali Khamis

6. Wizara ya Elimu- Kipanga Juma Omar

7. TAMISEMI- Dk Festo Ndugange

8. Wizara ya Nishati- Stephen Byabato

9. Menejimenti Utumishi wa Umma- John Ndejembi

10. Mawasiliano na Teknolojia ya Habari- Kundo Mathew

11. Wizara ya Mifugo- Pauline Gekul

12. Wizara ya Madini- Ndulane Kumba

13. Wizara ya Ujenzi- Godfrey Kasekenya

14. Ofisi ya Waziri Mkuu wenye ulemavu- Ummy Ndelinanga

15. Wizara ya Maji- Maryprisca Mahundi

16. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo- Abdallah Ulega

17. Ofisi ya Makamu wa Rais (muungano na mazingira)- Mwita Waitara

18. Wizara ya Mambo ya Nje- William Olenasha

19. Wizara ya Maliasili na Utalii- Mary Masanja

20. Ofisi ya rais TAMISEMI- David Silinde

21. Wizara ya Kilimo- Hussein Bashe

22. Wizara ya Afya- Dk Godwin Mollel

23. Wizara ya Katiba na Sheria- Pinda Mizengo

View attachment 1642517
View attachment 1642518
View attachment 1642519
View attachment 1642520



 
Hao ma Prof wamefanya kitu gani tangible??

Kimei amefanya kitu kinachoonekana, sio kuandika papers kwa msaada wa Wikipedia..
Ingekua kuandika paper ni rahisi hata wewe ungeandika mkuu, and hao wanaoreview na kupublish hizo paper online sio wajinga wajinga kama unavyofikiri wewe, ni panels zilizojaa wabobezi wa fani husika kila pande za dunia. Acha kuendekeza sana stories za wapuuzi vijiweni
 
Waislam warudi tu kwenye njia zao za kujipatia kipato za asili, uchuuzi mdogo mdogo kuanzia sokoni, magenge mpaka kwenye biashara kubwa za usafirishaji, mafuta (Petrol Stations)

Nigeria walio shika serikali ni Waislam lkn hapa ni Wakristu ndo asili hiyo

Watu watoboe kwenye biashara tu na kazi ambazo hazipo ktk mambo ya serikal maana kuna invisible power ipo nyuma ndo inatakaje yaani sipati picha baraza lote lingekuwa la Waislam afu hao watatu ndo wengineo leo pasingelalika haha

Mtu mweusi anasumbuliwa sana na historia hii

Katiba ina ruhusu kweli kuchagua bila misingi ya dini wala ukanda lakini busara na historia ina nguvu ktk maamuzi ya wote sioni sababu kwa nchi ambayo Waislam na Wakristu hakuna minority afu kuunda baraza kama hili, kwanini watu waache mianya ya chuki kwa busara ya kawaida tu ingetumika

Hivi wale wahubiri kama kina Ponda wakianza kuchanganua hizi fact na kuna baadhi wakaanza kumeza sumu mbaya hauoni kuna mbegu sio nzuri zinaweza kutumiiza wote waliokuwemo na wasiokuwemo

Busara na ushauri mzuri kwa faida ya wote ni muhimu na kuna watu wanatakiwa kumshauri mkuru vzr na je vyombo vyetu vya usalama hasa idara ya usalama wa Taifa hawaoni pia mitego hii ya maamuzi inabyoweza leta hatari kwa wote sisi siku za usoni??
Waislamu tutachangiwa sadaka za kanisani tujengewe masjid
Kwa kweli Magufuli tangu aingie madarakani amejitahidi kuonesha chuki ya wazi kwa Waislamu. Wazanzibari na Wachaga
Baraza la mawaziri la jamuhuri ya muungano hakuna Mzanzibari hata mmoja
Waislamu watatu
Wapare 0 wachagga 1 Wasukuma 5
Karibu theluthi wanatoka kanda ya Ziwa
 
Hata Kama waislam ni VILAZA wakubwa, that means hawana uwezo kabisa, uteuzi nyeti kama huu lazima wasipungue walau 8 out of 23. Kinyume na hapo kuna walakini. Vivyo hivyo kwa wakuu wa mikoa, Kama mikoa ni 26, waislam wasipungue 9, maana 50/50 Is impossible.

Hata Waswahili endeleeni kutafuna kharlua, wenzenu watafuna nchi.
Ulichokiandika ni kwa mujibu wa Katiba ya JMT au ni kwa mujibu wa mihemko tu?
 
kwa nini tunaingiza udini? sioni kosa lolote hapo maana watanzania wote tunataka maendeleo tu sio dini za watu, maaana hata akiwa mkiristo kinacho takiwa ni awe mwadilifu kwa watu wote,
Wewe jamaa mdini sana aisee,
Hapo zimegawanywa kada tatu tofauti wewe umeona ya udini tu.

Kuna Gender, Dini na Wanakotokea lakini umeshupalia hiyo ya Dini, means unafahamu kuwa haiko sawa ndo maana unatetea.
 
Hii ina shape picha ya Raisi ajaye kama mheshimiwa atapumzika. Kama watafuata mazoea ya kubalishana kidini basi Jaffo au KM, otherwise namuona Dotto Biteko Raisi ajaye.
Kwa jinsi Mkulu asivyowapenda kundi "Lile" hoja ya kubadilishana au kupokezana isahau kabisa
 
Kwani lazima wawepo?

Makabila 126 yataingiaje kwenye cabinet ya watu 30 or 40?

Msijikweze sana maana inawezekana kuna Makabila tangu uhuru hayajawahi kutoa walau Naibu Waziri

Ukiondoa Jakaya kuna Mkwere kishawahi kuwa Waziri au Naibu waziri tangu uhuru? Mbona tupo kimya tu
CC FaizaFoxy
 
Back
Top Bottom