Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Sarakasi zinaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakishakuwa nje ya madaraka huwa na akili hata yeye akutaka kukosolewa,speech zote ni baada ya kustaafu.
Huyu simba si alishawahi chezea utumbuzi mwanzo mwanzoNAONAA UKOOO WA SIMBACHAWENE NYOTAA ZIMENGAAAAA
Wamebadilishana nafasi zungu kachukua nafasi ya simba ya zamani kabla ya utumbuzi Wa awalini SIMBACHAWENE, ZUNGU NAYE AULA
Haswaaa nyotaaa yakee badooo ikangaa akarudii namsikia na simba chawene mwingine DK nae kateuliwaaaa HUU ndioo UKOOO WA kupelekaa maharii walahiHuyu simba si alishawahi chezea utumbuzi mwanzo mwanzo
Uliona wapi mtu anaitwa simba nyota ikawa chiniHaswaaa nyotaaa yakee badooo ikangaa akarudii namsikia na simba chawene mwingine DK nae kateuliwaaaa HUU ndioo UKOOO WA kupelekaa maharii walahi
Hahahaaaaaaa MPWAAA PATAAAA ENERGY SIO YA MORE NTAKUJALIPAUliona wapi mtu anaitwa simba nyota ikawa chini
unayo hiyo clip tusikilize??Huyo Lema ndio alioteshwa na Mungu kuwa Magu hafiki 2020🤔🤔
Ukipata mjukuu anza na jina simba.Simbaulanga,simbamwene,simbawanyika,simba mkulu,simba rara nkHahahaaaaaaa MPWAAA PATAAAA ENERGY SIO YA MORE NTAKUJALIPA
Ukipata mjukuu anza na jina simba.Simbaulanga,simbamwene,simbawanyika,simba mkulu,simba rara nk
Dar Patamu Dodoma iliomshinda Mwl. Nyerere licha ya kuwa mwanzilishi sioni kama Magu ataimudu.chakii,
Hivi Mh. Rais aliposema amehamia Ikulu ya Dodoma alikuwa anamaanisha Ikulu ya Dodoma iliyoko Magogoni Dar es Salaam au?
Sawa, kwa sababu google mnaweza kuitumia kutafuta "Hamida kaniacha" tu...unayo hiyo clip tusikilize??