Ikulu Dar: Rais Magufuli amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa Zungu apewa Wizara ya Mazingira

Haya yatakuwa mabadiliko makubwa katika baraza la Mawaziri bila shaka

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
=====TAARIFA=====
Matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam yatawajia muda mfupi ujao kupitia vyombo vya habari vya Redio, Televisheni na Mitandao ya Kijamii. Aidha, waweza kutazama kupitia Youtube ya IkuluMawasiliano.
 
Kigwangala ni waziri wa dakika chache,muda si muda atanyamazishwa na kulia lia kwake hayumo baraza la mawaziri..

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Duh Kigwa naye out vile
Akisalia basi tutaamini zilikuwa hila vinginevyo ni wakati tu ulikuwa ukisubiriwa utimie

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…