Kenya ni jirani tena ni ndugu hasa,
Yaani humo mipakani watu wameoleana sana,
Kuna watu walitaka kufuta historia hii
Ila ikashindikana asante sana mwenyezimungu,
Ninachoshauri tu serikali ziruhusu uraia pacha kwa inchi hizi mbili, kwani kuna watu wengi tu wanateseka
Huku wanakataluwa na kule wanakataliwa kisa wazazi mmoja wa Huku na mwingine wa kule