Ikulu iingilie kati

Ikulu iingilie kati

maatope

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2013
Posts
1,422
Reaction score
957
Profesa Kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora Afrika! Yes, hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, Angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu ambaye ndiye mrembo kuliko wote Afrika, Miss Wema Sepetu (22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?
 
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae
 
Last edited by a moderator:
Hahahah akiyanani kweli jf mwisho ya matatizo.......cc psychiatrist's
 
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

nimecheks sana du!!
 
Last edited by a moderator:
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

Ungewek na haka kapicha
 

Attachments

  • 1423686491104.jpg
    1423686491104.jpg
    42 KB · Views: 914
Last edited by a moderator:
hahahaaaa na kweli huku mitandaoni ni wao tu mnh:A S-frusty2:
 
Rais atakuwa mpuuzi wa mwisho kufanya ujinga kama huo. Mambo ya muhimu ni mengi.
 
Profesa kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora afrika, yes hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu amabye ndiye mrembo kuliko wote afrika,miss Wema sepetu(22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?

kuna mambo mengi ambayo ikulu inatakiwa kushughulikia na sio mahusiano ya watu binafsi
 
Maatope ushaanza...Ndo viroba vya Malawi au?
 
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

U made my day tehetehe
 
Last edited by a moderator:
Profesa Kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora Afrika! Yes, hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, Angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu ambaye ndiye mrembo kuliko wote Afrika, Miss Wema Sepetu (22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?

Acha ujinga wewe.
 
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

Hahaha hahaha hahaha umetshaje....
 
Last edited by a moderator:
Profesa Kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora Afrika! Yes, hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, Angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu ambaye ndiye mrembo kuliko wote Afrika, Miss Wema Sepetu (22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?

huyo Diamond ni gagulo, Wema ni sidiria, na wewe ni chupi...so wote ni nguo za ndani...
 
Back
Top Bottom