Ikulu iingilie kati

Ikulu iingilie kati

maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

Ahaaa!!!!kweli jf kuna vituko!!!!mavu zangu!!! Du!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huyo ndio Sir Maatope, all the way from Tandale kwa Mtogole kwa mzee Akilimali wa Yanga.
 
Ungewek na haka kapicha
Mkuu wengine tulijifanya wastaafu wa hii kitu naona unafanya campaign ya kunirudisha kiaina ukitilia maanani kustaafu kwenyewe kumekuja baada ya kumpata shemeji yenu mnoko na vitoto ninavyopaswa kuwa mfano bora kwao!
 
maatope Wema sepetu(22) ....sijakuelewa hapa? Usipende kuvuta Bange na mbegu zake,badala ya kusokotea kwenye Rizla wewe wanyongea gazeti la KIU,badala ya kuchanganya na sigara kali au dry wewe unamix na Sweet Menthol (SM)..nitarudi baadae

Halafu kuvutia chooni kisha kushushia na burudani wine lazima ajione yeye ni philosopher kuliko Plato
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli prof, anatakiwa kuingilia kati kwan aliisha pewa mwariko wa kuudhura kitchen party ya wema ktk ndoa walio tangaza.
 
naona watu mnaleta majungu na kunitukana , mi nawachora tu, nakuja na evidence kwamba mkuu wa kaya anamkubali sana diamond dangote na hawezi kubali kijana wake apate stress za kimapenzi hivyo solution ni kuwaita hawa vijana wadogo yaani dangote na wema(22) pale ikulu ili mtoto azaliwe na pure damu ya kitanzania
Hili ni suala la kitaifa jamani
 
Yaani wewe kweli unachekesha, awapatanishe mwanaume na mwanamke aliyemuacha kwa sababu ya kulala na wakuu wa nchi wakati wanatoka wote ili iweje.

Hamuoni Diamond aliachwa na ame move on na maisha.

Tena usikosee kusema unayoandika huyo Wema amefanya nini kuitangaza nchi yetu? Kwa kwenda kulala na wanaume wanamjua ex wake au? Akili gani katumia kuonyesha yeye ni yeye zaidi ya kutumia za watu? Mwanamke anayeongoza kwa kuomba watubwatukane watu katika mitandao na kuwadharirisha.

Andika alichofanya unaacha kusifia akina Kidoti na Mrs Nyalandu ma miss unatuletea ushuzi.

Na bila kumsahau akina Flavian, Happiness

Mnadhani raisi ana muda wa kijinga eti kuwapatanisha.

Wanaoachana jao upatanishwa ikiwa wameshindwana. Msilazimishe

Tena Diamond akirudi kwa Wema yaani ndio kaula na fans hao watamkimbia.

From Fan wa Diamond.
 
Huyu lazima ni ndugu yaje wema au ni yeye.

Alimuacha Diamond wakaandika tukasoma eti anaiba nyota...now si yupo na wengine mababu na akina wasanii.

Mwacheni huko huko mwanamke nuksi.

Haya kurusha picha kukandia mimba ya mwanamke mwingine wakati yeye hajazaa, ni wa kuogopwa.
 
Halafu kuvutia chooni kisha kushushia na burudani wine lazima ajione yeye ni philosopher kuliko Plato
Acha tu Mtani....Choo chenyewe cha uswazi maji ya kutawazia ndio hayohayo yatumike kusukuma mzigo baharini/chembani......too bad ukute na dirisha hakina lazima uje na thread za ki-mav* mavi mpwa....Hivi hii burudani kumbe ni wine? naona vijana wanazifakamia mtaani kwangu nikawa najua ni sunvita au juice
 
Mtoa na Watu wengine kama wewe ndo mmesbabisha mitandao ya simu watoe Mb 8 ukinunua kifurushi wanaona hamna matumizi navyo kabisa
 
nimegundua kuna watanganyika wana stress za maisha wanajaribu kuziangushia kwa wengine, sorry dudes, poleni kwa matatizo yenu
 
Siku zinavyozidi kwenda naona jina la Rais linatumika ndivyo sivyo, mtoa mada hizi ishu zingine, usihusishe na Mr president, otherwise hizi raha tunazopata humu zinakuja kupigwa ban ya maisha.
 
Profesa Kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora Afrika! Yes, hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, Angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu ambaye ndiye mrembo kuliko wote Afrika, Miss Wema Sepetu (22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?

and finally we have our winner
#JF DUMBEST PERSON CONTEST#
 
Profesa Kikwete mwenyewe alisema Diamond ndiye mwanamuziki bora Afrika! Yes, hapo hakuna cha Baaba mali, Youssou N dour, Angelique Kidjo, Khadija Niin, wote hawamfikii msanii mkali ambaye hajawahi kutokea kwenye historia ya Afrika.

Sasa huyu kijana Diamond katengana na demu ambaye ndiye mrembo kuliko wote Afrika, Miss Wema Sepetu (22).

Je, mheshimiwa Rais huoni ni wakati muafaka wa kuwaita ikulu na kuwapatanisha vijana hawa wanaolitangaza vizuri jina la nchi yetu tena wakiwa ni role models wa teenagers?

Jamani hizi div 5 za mlugo zinaangamiza taifa hili. Seems like unafikiri kwa kutumia mapumbu badala ya ubongo
 
Ati nini, ampatanishe na Wema Sepetu? Labda amshauri Diamond asidiriki kurudi kwenye mahusiano ya kimapenzi na huyu Wema binti mrembo fake.
 
Kwakuwa ndo utaratibu kwa ikulu ya bongo kuwajali wapuuzi na takatal wenzao kama hawa na kuwaacha wazalendo kama waliotembea tol geita,basi na ifanye hivo.Shimo lenyewe la bidada huyo linanuka.
 
Back
Top Bottom