Ikulu: Kikao cha kusaini hati za kuondoa hoja tano za Muungano zilizotatuliwa. Sasa rasmi mafuta na gesi kila mtu kivyake

Nimeamini hali mbaya Zanzibar mpaka movie zinatengenezwa, kwanini sasa bado siku 10 tu uchaguzi? hali tete sote tunajua.
 
Hapo inakuaje ikiwa mafuta yanapatikana within 200 nautical miles of each part Bara yupo within 200 miles na ZNZ nayo ipo within hizo 200 nautical miles?
 
Hii imechelewa sana na haitabadilisha muelekeo wa kuiondoa CCM madarakani, hizo pipi kuleni wenyewe kwa wenyewe.
Chini ya Maalim Seif na Tundu Lissu manufaa kwa Watanzania wote wala hakutakuwa na kudanganya, CCM imetufikisha tuwe waroho na imetufanya hatupo sawa, CCM walijali maslahi yao zaidi na hili hamna wa kumdanganya maana mkichaguliwa mtakuja na jipya, limo kwenye katiba tubadilishe katiba kwa maana hio itakuwa mumewapiga chenga WaZanzibari waliovaa mkenge huo kuwa sasa kila mtu na chake. Danganeni wenyewe kwa wenyewe.

CCM sasa basi imetosha hata mkivunja Muungano bado wananchi watataka muondoke madarakani, hivi kwa nini hamuelewi wananchi kuwa wamewachoka, mmebakia nyie wahafidhina tu umma umeshakikataa Chama Cha CCM
 
Wakati serikali inahamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu, Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mpaka ipatikane katiba Mpya Chakushangaza baada ya matokeo kutangazwa watasema wameibiwa kura.
🚮🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…