CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #101
IKULU inahitaji data analyst sio reporterHatuitaji uongo na propaganda za Kafulila Ikulu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IKULU inahitaji data analyst sio reporterHatuitaji uongo na propaganda za Kafulila Ikulu.
Unamkumbuka Msemaji wa IKULU ya Sadam Hussein?..Ikulu ni ofisi ya umma.
..Haipaswi kufanya propaganda za aina yoyote.
..Ikulu inapaswa kufanya kazi kwa ufanisi, weledi, na kuzingatia utawala bora.
Sio kila mwanahabari ni mtaalamu wa Mawasiliano.
Ukiacha huyo Kafulila, ni nani mwingine chaguo lako?Mkuu Mimi sina ata time ya kutaka Uteuzi, Ila Mimi naona Kafulila anafaa sana .
Tumbili pia ni mwanahabariKwanza Kafulila sio kijana na pia sio data analyst, na pia ikulu inahitaji mtaalamu wa mawasiliano na sio wanapropaganda.
Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri Mheshimiwa Kafulila atashindwa kufanya mahojiano na CNNWatanzania tuheshimu taaluma za wengine.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ni mshauri wa rais wa mambo ya habari.
Kitaaluma anatakiwa kuwa mwandishi wa habari.
Haiwezekani kuokoteza watu wa taaluma nyingine kufanya interview na CNN nk, kwa niaba ya rais.
Kafulila aendelee na majukumu yake.
Kazi ya habari tuwaachie wana habari.
Sasa hii ni nini, Ila vijana wa bongo ni wajinga sana,
Kafulila anawapa shida sana hawa BAVICHAKwa hiyo kwa akili yako unafikiri Mheshimiwa Kafulila atashindwa kufanya mahojiano na CNN
Joined May 29. Mnalipwa kiasi gani kwenye uchawa uko?Sasa hii ni nini, Ila vijana wa bongo ni wajinga sana,
Mbona huyo mtu comment zote anaweka wazi kuwa yeye ni mshabaki wa Kafulila, Huyu CM 1774858 mbona huko hapa muda mrefu na ni mtu anamwandika zaidi Mama Samia na zamani Shaka Hamdu Shaka.
Nimefuatilia nyuzi zake tangu kitambo
Unamkumbuka Msemaji wa IKULU ya Sadam Hussein?
Kwa hiyo kwa akili yako unafikiri Mheshimiwa Kafulila atashindwa kufanya mahojiano na CNN
Mkuu mbona povu linakutoka?
Siyo povu bali ndio UKWELI wenyewe kuwa Mheshimiwa David Kafulila anaweza kuimudu vyema sana nafasi hiyoMkuu mbona povu linakutoka?
Unajidhalilisha.Siyo povu bali ndio UKWELI wenyewe kuwa Mheshimiwa David Kafulila anaweza kuimudu vyema sana nafasi hiyo
Wivu tu unawasumbua wengine. Lakini moyoni wanajuwa kuwa David Kafulila ni jembe na ataiweza vyema sana nafasi hiyo .Makasiriko ya nini?
Umesahau ulikuwa Chama gani kabla ya kuhamia CCM . Ulihama NCCR ukaenda CHADEMA ulivyobwagwa kwenye kesi ya uchaguzi ukakimbilia CCM.🤣🤣🤣Kafulila CHADEMA ila nyie jamaa wivu utawaua mpaka Mama mnasema
Sasa mnataka muanzze kuharibu ikulu Kwa kuweka wanaisiasa wenye tamaa za madaraka Kama Kafulila. Maaana haridhiki na alichonacho.IKULU inahitaji data analyst sio reporter