IKULU Ubia upo, tuwajue wabia -Jenerali

IKULU Ubia upo, tuwajue wabia -Jenerali

Kazi kweli tunayo mpaka huyu MNYARWANDA leo anakuwa na ubavu wa kutukosoa...kazi kweli kwelo...i wonder who will be next katika hilo kundi lao la ma INTERAHAMWE!

......something is terribly wrong with this kind of attitude........mtu wa aina hii ni hatari sana.......kama kuna watu mnategemea/mnafuata ushauri wa huyu mtu.......inabidi kuwa makini.........
 
Ikulu ina ubia na Bunge na Mahakama kama mihimili ya Utawala.
 
......something is terribly wrong with this kind of attitude........mtu wa aina hii ni hatari sana.......kama kuna watu mnategemea/mnafuata ushauri wa huyu mtu.......inabidi kuwa makini.........

Naona GT tayari ame-hit palipotakiwa, kupotosha hoja. Sasa hakuna kujadili hoja tena bali tunajadili maandiko na comments za GT.

Tiba
 
got it! ufisadi wa watawala wetu leo hii unatokana na ubia wao na ufisadi wa Mwalimu! straight to the point. Easy to understand.

"Genetic disorder heriditary??? matibabu yake ni pale wadanganyika watakapouelewa waraka wa maaskofu, Lini? Mungu atatusaidia
 
GT,ni ccm-damu!hilo nimelithibitisha rasmi leo.na inaonekana pia ni ccm-mwanamtandao.nimemfuatilia sana kwenye thread yake ya ''ujenzi wa chuo kikuu dodoma'',na hapa nimepata jibu sasa!
 
nimesoma hiyo.. but in the light of your post ina maana hakuna mtu aliyekuwa rafiki au karibu na Mwalimu ambaye alisalimika na ubia wa ufisadi wake. WOTE wameambukizwa uongozi mbovu toka kwa Nyerere. Ndioy maamiaka 24 baadaye viongozi wote waliokuwa wanafunzi wa Mwalimu wanaonesha dalili zile zile za ubia na mwalimu.

Mzee Mwanakijiji
Ni lazima tutambue kuwa kwenye uongozi wa juu lazima kuna ubia, hiyo tutake tusitake. Wananchi ndio wabia wa Rais, kila mtu anahisa fulani pale ikulu. Na kutokana na hizo hisa tunategemea returns. Tunapompa kura (japo wapo waliomnyima) ndio kuingia ubia kwenyewe. Tatizo ni pale Kiongozi anaponunuliwa au anapotishwa kwa rungu la fedha asilipe dividends kwa waliomchagua.
I find it very hard kuamini kama kwenye ubia wa mwalimu kulikuwa na wizi wa fedha za umma. Ntakubali kulikuwa na ubabe, unyanyasaji, kejeli na dharau na hata kung'ang'ania madaraka. Lakini kwa uchache wa ninvyoujua ubia wake sioni kama kulikuwa na wizi au kuufumbia macho wizi kama sasa.

Kila siku najiuliza Nyerere angekuwa hai Rostam, Lowassa, Kingunge, Jeetu, Omar Mahita na wengine wangekuwa wapi. Sipati jibu, Lowassa at least ndiye anayeweza kujaribu kujibu swali hili. Lakini saa hizi haa watu wanpeta tu na ulinzi juu. Kweli kulia kunaonesha furaha na majonzi. machozi ya kifo cha mwalimu yalikuwa na yote mawili.
 
Kazi kweli tunayo mpaka huyu MNYARWANDA leo anakuwa na ubavu wa kutukosoa...kazi kweli kwelo...i wonder who will be next katika hilo kundi lao la ma INTERAHAMWE!

Kuna sentesi moja nilisoma humu ndani ya JF. Ilifanya nicheke siku nzima. Nafikiri hapa ingelifaa sana kumjibu GT.

"-- HATA SAA MBOVU, KUNA WAKATI INASEMA UKWELI --"
 
Kuna sentesi moja nilisoma humu ndani ya JF. Ilifanya nicheke siku nzima. Nafikiri hapa ingelifaa sana kumjibu GT.

"-- HATA SAA MBOVU, KUNA WAKATI INASEMA UKWELI --"

Duuh, aisee hii kiboko!! Hii lazima niitumie sehemu sehemu.... lol
 
ndio Ni MNYARWANDA huyu kwani uwongo?

woga wenu ni nini kukubali kama huyu ni Mtusi na ni Mnyarwanda au basi tuu ?


the same applies to Salva naye si mtanzania

iko wapi ile thread ya Salva si Mtanzania?
 
GT,
Acha ukabila. Interahamwe walikuwa Wahutu. Jenerali ana asili ya Kitusi. Ni kama vile umwite Myahudi Mnazi wa Kijerumani.

bwana weee NGURUWE KUZALIWA KATIKA ZIZI LA NGOMBE HAKUIMFANYI KUWA NGOMBE ATABAKI NGURUWE TUUU

its that simple
 
Bora tuwe nao wengi tena bungeni kuliko hali ilivyo sasa. Najiuliza ili mabadiliko yatokee lazima tukubali kukosolewa. Ninavyoona mimi, bora tuwe na wabunge wageni labda kutatokea mabadiliko.
 
Last edited:
suala eti la raisi wa nchi kutokuwa na Mbia si rahisi na ni kuzungumkuti, haliwezekani, wabia wakuu wa kwanza kwa raisi ni kamati kuu ya CCM, ambayo imejaza mafisadi, watu wasiokuwa na utaifa, watu waroho na ambao wako tayari kufanya lolote kwa manufaa yao binafsi na hawa ndio wanaoamua nani wanamtaka...wakati wa mwalimu kidogo kulikuwa na ahueni maana aliweza kuzuia baadhi ya mambo japo hata kwa kusema hazarani..kinachoendelea sasa ni USIRI tena unaoliangamiza taifa...
JK anaposema hana Ubia na mtu wakati imeonekana toka kuteua watendaji serikalini ameweka wale waliomsaidia huko nyuma,na hata suala la yeye kushindwa kuchukua hatua kali dhidi ya mafisadi ni sababu ya Ubia aliokuwa nao nawo asilidanganye taifa...
Hivi CAG hafanyii auditing CCM????
 
bwana weee NGURUWE KUZALIWA KATIKA ZIZI LA NGOMBE HAKUIMFANYI KUWA NGOMBE ATABAKI NGURUWE TUUU

its that simple

GT,

Umeshindwa kujadili hoja (urais wa Kikwete na possible ubia) sasa unaingia katika deliberate distortions (uraia wa Ulimwengu)

For the sake of argument, granted Ulimwengu ni Mnyarwanda, je anachosema ni kweli au si kweli?

Mbona hii sumu ya chuki ina ku consume hivyo? Unashindwa hata kuona the big picture yaubia wa urais wa Kikwete na kubweteka kwenye petty nitty gritties za uraia wa Ulimwengu? Tumekupa uwanja kama kuna issue inayoweza directly ku compromise integrity ya masuala aliyosema Ulimwengu iseme hapa, lakini usije blatantly tu una dismiss kila kitu eti kwa sababu Ulimwengu "ni Mnyarwanda".

Unajionyesha tu kwamba huna argument zaidi ya hiyo unayofikiri kuwa ni trump card wakati watu tunaiona yokel.
 
GT,

Umeshindwa kujadili hoja (urais wa Kikwete na possible ubia) sasa unaingia katika deliberate distortions (uraia wa Ulimwengu)

For the sake of argument, granted Ulimwengu ni Mnyarwanda, je anachosema ni kweli au si kweli?

Mbona hii sumu ya chuki ina ku consume hivyo? Unashindwa hata kuona the big picture yaubia wa urais wa Kikwete na kubweteka kwenye petty nitty gritties za uraia wa Ulimwengu? Tumekupa uwanja kama kuna issue inayoweza directly ku compromise integrity ya masuala aliyosema Ulimwengu iseme hapa, lakini usije blatantly tu una dismiss kila kitu eti kwa sababu Ulimwengu "ni Mnyarwanda". Unajionyesha tu kwamba huna argument zaidi ya hiyo unayofikiri kuwa ni trump card wakati watu tunaiona yokel.

Naungana sana na wewe mkuu. I feel so sick kuona watu wanafanyiwa hila kwa kisingizio cha uraia. I can ask who is of a use to us fisadi mtanzania halisi au Jenerali "mnyarawanda". Ulimwengu ni mmoja kati ya vijana wa zamani waliokuwa wanaenda kwenye mission za hatari enzi hizo wakitumwa na kina Mzee mbita, leo wamekuja baadhi ya watu wanajiita watanzania wakati hawana uzalendo na nchi hata kidogo, ni bora hata hao "wageni". Naona sasa ni afahdari nianze kuomba mkoloni aliyekuwa na uchungu kidogo na mtanzania wa kawaida aje, kuliko hawa kaka zetu wanaotuibia na kuwapelekea hela huko huko Ulaya. so sick.
Tusiwe mufilisi wa hoja
 
bwana weee NGURUWE KUZALIWA KATIKA ZIZI LA NGOMBE HAKUIMFANYI KUWA NGOMBE ATABAKI NGURUWE TUUU

its that simple

Bila shaka unafanya hivi ili kutumukia ujira wako, maana usipofanya hivyo utaulizwa kwamba unafanya nini siku hizi JF hadi waajiri wako wanaanikwa hadharani kiasi hicho.
na mbaya zaidi unaweza kupoteza ajira; payroll ya ufisadi ina raha yake ati.
 
Bila shaka unafanya hivi ili kutumukia ujira wako, maana usipofanya hivyo utaulizwa kwamba unafanya nini siku hizi JF hadi waajiri wako wanaanikwa hadharani kiasi hicho.
na mbaya zaidi unaweza kupoteza ajira; payroll ya ufisadi ina raha yake ati.

ATI?!!!?!!!huwa tunawajadili sana UWT,kumbe na GT ndani?
 
Wakati tunaelekea kwenye uchaguzi wa 2005 ilikuwa si siri kuwa RA ni mtu mwenye nguvu sana ndani ya hicho kilichoitwa mtandao. Alikuwa at the heart of everything na kuna watu walitabiri huyu atakuwa waziri mkuu au waziri muhimu sana ndani ya new government.

The obvious came. Huyu ni mtu aliyependa obscurity kwa sababu ambazo sasa hivi ziko clear kwa kila mtu.

Tangazo la kutokuwa na ubia ilikuwa ni obvious PR gaffe! Farasi hahitaji kuwaambia watu kuwa "sina mapembe"! No way, wote tunajua kuwa farasi hawana mapembe. Ukisikia nyani anasema "sina mkia!!", tayari ni mwito wa watu kuanza kumchunguza nyani.

Statement ya sina ubia, ilibeba ujumbe mzito na pengine ilitolewa kutokana na kuwa watu wengi huo ubia waliuona na kuushuhudia ukifanya kazi. Kitu ambacho wengi hatukujua; ubia huu ulikuwa ni mkubwa kuliko tulivyotarajia. RA si peke yake, ila ni symbol figure ya mtandao wenyewe. He was the Mtandao na behind him kuna more ugly faces.
 
Wakati tunaelekea kwenye uchaguzi wa 2005 ilikuwa si siri kuwa RA ni mtu mwenye nguvu sana ndani ya hicho kilichoitwa mtandao. Alikuwa at the heart of everything na kuna watu walitabiri huyu atakuwa waziri mkuu au waziri muhimu sana ndani ya new government.

The obvious came. Huyu ni mtu aliyependa obscurity kwa sababu ambazo sasa hivi ziko clear kwa kila mtu.

Tangazo la kutokuwa na ubia ilikuwa ni obvious PR gaffe! Farasi hahitaji kuwaambia watu kuwa "sina mapembe"! No way, wote tunajua kuwa farasi hawana mapembe. Ukisikia nyani anasema "sina mkia!!", tayari ni mwito wa watu kuanza kumchunguza nyani.

Statement ya sina ubia, ilibeba ujumbe mzito na pengine ilitolewa kutokana na kuwa watu wengi huo ubia waliuona na kuushuhudia ukifanya kazi. Kitu ambacho wengi hatukujua; ubia huu ulikuwa ni mkubwa kuliko tulivyotarajia. RA si peke yake, ila ni symbol figure ya mtandao wenyewe. He was the Mtandao na behind him kuna more ugly faces.


mkuu ujumbe wako ni mzito kweli kweli!na nimeukubali kutoka moyoni.'sina ubia?' hamna kitu kama hicho!

Hiyo mofano miwili uliyoitoa nimeipenda sana
 
Back
Top Bottom