Ikulu ya Dodoma? Je, watu wa Dodoma wana maji safi ya kunywa?

Ikulu ya Dodoma? Je, watu wa Dodoma wana maji safi ya kunywa?

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani katufinyanga namna hii?

Ikulu ya kifahari kwa fedha za kukopa, kweli?! Embu angalia ikulu ya waziri mkuu wa Uingereza tunapokimbilia kukopa na kuomba pesa, halafu fananisha ya yetu. Utashangaa sana jinsi sisi Watanzania tusivyojali watu wetu na kwenda kufanya tusivyoviweza wala kuvihitaji. Ni ajabu!

Je, watu wa Dodoma wana maji masafi ya kunywa na ya kutosha? Watoto wetu hadi leo wanasomea chini ya miti, hawana madawati wala vitabu, hiyo ikulu itasaidia vipi kuondokana na madhila haya? Zipo changamoto nyingi mno nchini, watu wanakufa kwa kukosa dawa, vituo vya afya vipo mbali mno na gharama za matibabu ni kubwa mno. Kwanini tusiweke fedha zetu kwenye mambo haya?

Linganisha ikulu ya Waziri Mkuu wa Uingereza na ile ya kwetu ndio utajua kuwa Africa tuna safari ndefu.

1684563111910.png
1684562831534.png
 
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani katufinyanga namna hii?

Ikulu ya kifahari kwa fedha za kukopa, kweli?! Embu angalia ikulu ya waziri mkuu wa Uingereza tunapokimbilia kukopa na kuomba pesa, halafu fananisha ya yetu. Utashangaa sana jinsi sisi Watanzania tusivyojali watu wetu na kwenda kufanya tusivyoviweza wala kuvihitaji. Ni ajabu!

Je, watu wa Dodoma wana maji masafi ya kunywa na ya kutosha? Watoto wetu hadi leo wanasomea chini ya miti, hawana madawati wala vitabu, hiyo ikulu itasaidia vipi kuondokana na madhila haya? Zipo changamoto nyingi mno nchini, watu wanakufa kwa kukosa dawa, vituo vya afya vipo mbali mno na gharama za matibabu ni kubwa mno. Kwanini tusiweke fedha zetu kwenye mambo haya?

Linganisha ikulu ya Waziri Mkuu wa Uingereza na ile ya kwetu ndio utajua kuwa Africa tuna safari ndefu.

View attachment 2628372View attachment 2628370
Laana tupu, nilisema kosa kubwa alilolifanya huyo mungu ni kumuumba Mwafrika
 
Maana yake umeonesha makazi ya waziri mkuu na ikulu ya mfalme wa wajinga
 
Ungekuwa Rais ungefanyaje hebu shauri huenda kuna jambo la kujifunza
Naongezea majengo natengeneza veta kabambe au naligeuza shule yoyote ya ufundi wa chaguo la wana Dodoma.
Faana unajua sababu za kuhamisha makao makuu toka DSM to Dodoma? kama una umri mdogo huwezi kujua na kwa watanzania tulivyo hujawahi fanye search kuhusu hilo. This is your homework, I wll come to you later and your homework
 
Ungekuwa Rais ungefanyaje hebu shauri huenda kuna jambo la kujifunza
Ningejenga ikulu ndogo tu kwa fedha za ndani na kuelekeza fedha nyingine kwenye matatizo ya msingi kama maji, afya, mipango miji, elimu, n.k. Ukiangalia ikulu ya Waziri Mkuu Uingereza tunapokwenda kuomba fedha utagundua kuwa tunafanya kufuru ya fedha kwenye mambo yasiyokuwa kipaumbele chetu. Hakuna mgeni kutoka nje atakayekuja ku-appreciate ufahari huu wakati ndio wamealikwa kuja kuokoa jahazi hapa kwetu! Watashangaa, kule kwao Uingereza Waziri Mkuu anafanya kazi kwenue kaofisi kadogo tu kanaitwa number 10 kapo Downing Street na watu wanakatiza hapo nje kuelekea sokoni.
 
Hao wazungu wana familia ya kifalme na wanawalisha kuwavisha kwa kutumia gharama kubwa.
Je hiyo familia ina msaada gani kwao? Uingereza pia kuna ma homeless kwanini wanawapa hela nyingi familia ya kifalme badala ya kusaidia homeless?
 
naongezea majengo natengeneza veta kabambe au naligeuza shule yoyote ya ufundi wa chaguo la wana Dodoma.
Faana unajua sababu za kuhamisha makao makuu toka DSM to Dodoma? kama una umri mdogo huwezi kujua na kwa watanzania tulivyo hujawahi fanye search kuhusu hilo. This is your homework, I wll come to you later and your homework
Ningejenga ikulu ndogo tu kwa fedha za ndani na kuelekeza fedha nyingine kwenye matatizo ya msingi kama maji, afya, mipango miji, elimu, n.k. Ukiangalia ikulu ya Waziri Mkuu Uingereza tunapokwenda kuomba fedha utagundua kuwa tunafanya kufuru ya fedha kwenye mambo yasiyokuwa kipaumbele chetu. Hakuna mgeni kutoka nje atakayekuja ku-appreciate ufahari huu wakati ndio wamealikwa kuja kuokoa jahazi hapa kwetu! Watashangaa, kule kwao Uingereza Waziri Mkuu anafanya kazi kwenue kaofisi kadogo tu kanaitwa number 10 kapo Downing Street na watu wanakatiza hapo nje kuelekea sokoni.
Nimeuliza kwa nia njema tu ya kutaka kujifunza na kujua, ikumbukwe si kila binadamu anajua kila kitu
 
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani katufinyanga namna hii?

Ikulu ya kifahari kwa fedha za kukopa, kweli?! Embu angalia ikulu ya waziri mkuu wa Uingereza tunapokimbilia kukopa na kuomba pesa, halafu fananisha ya yetu. Utashangaa sana jinsi sisi Watanzania tusivyojali watu wetu na kwenda kufanya tusivyoviweza wala kuvihitaji. Ni ajabu!

Je, watu wa Dodoma wana maji masafi ya kunywa na ya kutosha? Watoto wetu hadi leo wanasomea chini ya miti, hawana madawati wala vitabu, hiyo ikulu itasaidia vipi kuondokana na madhila haya? Zipo changamoto nyingi mno nchini, watu wanakufa kwa kukosa dawa, vituo vya afya vipo mbali mno na gharama za matibabu ni kubwa mno. Kwanini tusiweke fedha zetu kwenye mambo haya?

Linganisha ikulu ya Waziri Mkuu wa Uingereza na ile ya kwetu ndio utajua kuwa Africa tuna safari ndefu.

View attachment 2628372View attachment 2628370
ungeweka na picha ya buckingham palesi, windsor casstle na thamani ya kila moja ingenoga zaidi. kabla hawajaanza kukubaliana na chuki zako
 
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani katufinyanga namna hii?

Ikulu ya kifahari kwa fedha za kukopa, kweli?! Embu angalia ikulu ya waziri mkuu wa Uingereza tunapokimbilia kukopa na kuomba pesa, halafu fananisha ya yetu. Utashangaa sana jinsi sisi Watanzania tusivyojali watu wetu na kwenda kufanya tusivyoviweza wala kuvihitaji. Ni ajabu!

Je, watu wa Dodoma wana maji masafi ya kunywa na ya kutosha? Watoto wetu hadi leo wanasomea chini ya miti, hawana madawati wala vitabu, hiyo ikulu itasaidia vipi kuondokana na madhila haya? Zipo changamoto nyingi mno nchini, watu wanakufa kwa kukosa dawa, vituo vya afya vipo mbali mno na gharama za matibabu ni kubwa mno. Kwanini tusiweke fedha zetu kwenye mambo haya?

Linganisha ikulu ya Waziri Mkuu wa Uingereza na ile ya kwetu ndio utajua kuwa Africa tuna safari ndefu.

View attachment 2628372View attachment 2628370
Wakazi wa Idodomya wachote maji Chamwino.
 
Huo ni ufalme wa Uingereza, watu waliotawala dunia nzima kipindi flani, Tanzania ilikuwa mali yao siku hizo. Wana fedha nyingi hadi leo na hawana changamoto ndogo ndogo za kukosa maji ya kunywa.

Walishaendelea ndio wanatupa misaada na hayo mapalesi ni historia tu na yanajiendesha kwa fedha za watalii wanaomiminika huko kila siku.
ungeweka na picha ya buckingham palesi, windsor casstle na thamani ya kila moja ingenoga zaidi. kabla hajaanza kukubaliana na chuki zako
 
Huo ni ufalme wa Uingereza, watu waliotawala dunia nzima kipindi flani, Tanzania ilikuwa mali yao siku hizo. Wana fedha nyingi hadi leo na hawana changamoto ndogo ndogo za kukosa maji ya kunywa.

Walishaendelea ndio wanatupa misaada na hayo mapalesi ni historia tu na yanajiendesha kwa fedha za watalii wanaomiminika huko kila siku.
sawa ombaomba
 
Utakuta tumekopa mabilioni kujenga ikulu kubwa zaidi duniani. Tumekopa hata ramani ya Mjerumani aliyotumia kujenga ikulu ya Magogoni, mwonekano ni uleule hata Zanzibari muonekano ni ule ule, nani katufinyanga namna hii?

Ikulu ya kifahari kwa fedha za kukopa, kweli?! Embu angalia ikulu ya waziri mkuu wa Uingereza tunapokimbilia kukopa na kuomba pesa, halafu fananisha ya yetu. Utashangaa sana jinsi sisi Watanzania tusivyojali watu wetu na kwenda kufanya tusivyoviweza wala kuvihitaji. Ni ajabu!

Je, watu wa Dodoma wana maji masafi ya kunywa na ya kutosha? Watoto wetu hadi leo wanasomea chini ya miti, hawana madawati wala vitabu, hiyo ikulu itasaidia vipi kuondokana na madhila haya? Zipo changamoto nyingi mno nchini, watu wanakufa kwa kukosa dawa, vituo vya afya vipo mbali mno na gharama za matibabu ni kubwa mno. Kwanini tusiweke fedha zetu kwenye mambo haya?

Linganisha ikulu ya Waziri Mkuu wa Uingereza na ile ya kwetu ndio utajua kuwa Africa tuna safari ndefu.

View attachment 2628372View attachment 2628370
Ikulu ni ofisi ya Rais sio ofisi ya waziri mkuu,ungepost jumba la mfalme/malkia ya uingereza ambaye ndio Kiongozi wa nchi waziri mkuu ni mtendaji tu kama kasimu majaliwa KWA HUKU kwetu!!

Post office ya kasimu majaliwa uifananishe na ya waziri mkuu wa uingereza!!
 
Back
Top Bottom