joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya's State House seeks charcoal supplier amid logging ban
The irony is compounded by an existing ban on logging and drive towards clean energy for cooking.www.theeastafrican.co.ke
Imebainika kwamba, ikulu ya Kenya hutumia mkaa na kuni kupikia chakula cha rais na wageni wanaotembelea ikulu, wakiwemo rais wa nchi mbalimbali wanaotembelea ikulu hiyo.
Hii inakwenda kinyume kabisa na jitihada za serikali ya Kenya kupunguza matumizi ya mkaa ili kulinda mazingira, hii inaifanya Kenya kuwa ni nchi pekee hapa duniani kwa ikulu ya nchi kutumia makaa na kuni kupikia rais na wageni wa ikulu
hogwash!Imebainika kwamba, ikulu ya Kenya hutumia mkaa na kuni kupikia chakula cha rais na wageni wanaotembelea ikulu, wakiwemo rais wa nchi mbalimbali wanaotembelea ikulu hiyo.Kenya's State House seeks charcoal supplier amid logging ban
The irony is compounded by an existing ban on logging and drive towards clean energy for cooking.www.theeastafrican.co.ke
Hii inakwenda kinyume kabisa na jitihada za serikali ya Kenya kupunguza matumizi ya mkaa ili kulinda mazingira, hii inaifanya Kenya kuwa ni nchi pekee hapa duniani kwa ikulu ya nchi kutumia makaa na kuni kupikia rais na wageni wa ikulu
Kenya hawali Wali, ni mwendo wa ugali na "Githeri".Wali wa kupikia jiko la mkaa ni mtam first class. Hasa yake matandu ya juu. Kenyatta anaakili Sana Kama NI kweli.
Kenya hawali Wali, ni mwendo wa ugali na "Githeri".
Hahahaha, hawa watu ni shida, chakula hawana, hata Energy ya kupikia pia ni shida, sasa tukiwapa mahindi kwa ajili ya ugali na Githeri watadai tuwape na gesi ya kupikia.Sa githeri ya moto wa mkaa huoni kuwa inatoka bomba sana
Hata huku ulaya tunatumia makaa kupika nyama zetu mnafiki wewe. Kwanza tunawaalika waTzed wenzako (Haya na Wasukuma wapo huku ) wanakuja kula ugali ,githeri na nyama zetu sana sana.Kenya hawali Wali, ni mwendo wa ugali na "Githeri".
Hahahaha, wewe fala sana, kwasababu ulaya wanapikia mkaa basi wewe kwako unadhani ni jambo la kawaida. Ninyi wakenya ni hovyo sana, kila mkifanya kosa mnatumia Ulaya kujiliwaza, ndio sababu wanaume wengi wa Kenya wanaolewa huko Ulaya na wanadhani kuolewa Ulaya ni jambo zuri.Hata huku ulaya tunatumia makaa kupika nyama zetu mnafiki wewe. Kwanza tunawaalika waTzed wenzako (Haya na Wasukuma wapo huku ) wanakuja kula ugali ,githeri na nyama zetu sana sana.
Wenyewe wanaita mchele (mshele kwa wakikuyu) hata ukipikwa.Kenya hawali Wali, ni mwendo wa ugali na "Githeri".
Hahahaha, kwahiyo Magufuli atakapokwenda kumtembea Uhuru Kenyatta huko Gatundu, aende na Dream liner iliyojaa gunia za mkaa?.Aha haa
Lkn wali uliopikwa kwa mkaa ni shidaa. Mtamu balaa, pilau ndo usiseme. Na miss sana.
Kenya's State House seeks charcoal supplier amid logging ban
The irony is compounded by an existing ban on logging and drive towards clean energy for cooking.www.theeastafrican.co.ke
Imebainika kwamba, ikulu ya Kenya hutumia mkaa na kuni kupikia chakula cha rais na wageni wanaotembelea ikulu, wakiwemo rais wa nchi mbalimbali wanaotembelea ikulu hiyo.
Hii inakwenda kinyume kabisa na jitihada za serikali ya Kenya kupunguza matumizi ya mkaa ili kulinda mazingira, hii inaifanya Kenya kuwa ni nchi pekee hapa duniani kwa ikulu ya nchi kutumia makaa na kuni kupikia rais na wageni wa ikulu
Hahahaha, kwahiyo Magufuli atakapokwenda kumtembea Uhuru Kenyatta huko Gatundu, aende na Dream liner iliyojaa gunia za mkaa?.