Ikulu ya Magogoni iwaruhusu Deus na wenzake kupeleka ujumbe wao

Ikulu ya Magogoni iwaruhusu Deus na wenzake kupeleka ujumbe wao

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Sioni sababu yoyote ya Polisi kuzuia hayo màndamano. Kamanda wa Polisi Temeke awaruhusu hawa vijana kufanya hayo maandamano. Hili ni swala ambalo ingawa serikalini wamemaliza mjadala,lakini wananchi wengine bado wanalijadili.
Hili swala la maandamano halikatazwi Kikatiba siyo sawa kwa Polisi kusema kwamba maandamano yatawazuia watu kufanya kazi.
Watu wengi wameongea maneno kuupinga huu mkataba wa DP World. Polisi ikiwateka hawa watu itakuwa imewatukana watu wengi.
Ushahidi unaonyesha kwamba Polisi wanaongea maneno matamu lakini wanatesa sana watu wengi. Kama hapa wanasema kwa nini wanaharakati wasitumie Posta kupeleka ujumbe wao.
Wapokee vijana Ikulu,pokea ujumbe wao,wape soda vijana,basi,kuna tatizo gani.
I strongly object watu kubanduliwa kucha,kung'olewa meno,ati kwa sababu walikuwa wameupinga huu mkataba tata. I am fiercely opposed yo that This is a holy country. I strongly advice the Police to cease and desist what they want to do on Monday. Wayalinde maandamano.
Tusione matatizo mahali ambapo hakuna matatizo.
 
0bd72647ffa8009bad6e837613618321.jpg
 
Huku DP huku bajeti haieleweki mara matangazo ya mtandaoni wanataka hela biashara ya Utalii bila matangazo watakuja wageni huyu Mwigulu sijui mshauri wake ni nani aisee...
 
Waruhusuni mbona nyie mwapenda kushangilia tu Kama nzi washangiliavyo maiti! Maandamano ya kuwashangilieni mwaona poa! Baali ya kuwakosoeni mwasema astaghafirulaah!!!!!! Wapeni vijana nafasi wafikishe ujumbe ,nyie polisi watoto wenu wataishi nchi ya wapi zaidi ya TZ hii hii inayouzwa raslimali zake kwa wageni,polisi tambueni waandamanaji hao wanawaseemeeni na nyie maslahi yenu na watoto wenu,nyie mnamlinda Nani? Viongozi mwajitia Tia wanademokrasia, ni demokrasia ipi ya kupenda kusifiwa tu ,halafu ukipewa ukweli wafuula Kama shavu la kamongo!!!!!! Nyie mmeumbikaje,halafu nyie mbona watoto wenu hawakosagi Ajira,Kama watoto wa makabwela! Ilhali ukiwaweka darasani unakuta IQ ya mtoto was kabwela iko shrewd kuliko ya mtoto was kigogo dalali wa raslimali za nchi!!!!!? Acheni waandamane tusikie wanamtizamo gani mbadala!
 
Sioni sababu yoyote ya Polisi kuzuia hayo màndamano. Kamanda wa Polisi Temeke awaruhusu hawa vijana kufanya hayo maandamano. Hili ni swala ambalo ingawa serikalini wamemaliza mjadala,lakini wananchi wengine bado wanalijadili.
Hili swala la maandamano halikatazwi Kikatiba siyo sawa kwa Polisi kusema kwamba maandamano yatawazuia watu kufanya kazi.
Watu wengi wameongea maneno kuupinga huu mkataba wa DP World. Polisi ikiwateka hawa watu itakuwa imewatukana watu wengi.
Ushahidi unaonyesha kwamba Polisi wanaongea maneno matamu lakini wanatesa sana watu wengi. Kama hapa wanasema kwa nini wanaharakati wasitumie Posta kupeleka ujumbe wao.
Wapokee vijana Ikulu,pokea ujumbe wao,wape soda vijana,basi,kuna tatizo gani.
I strongly object watu kubanduliwa kucha,kung'olewa meno,ati kwa sababu walikuwa wameupinga huu mkataba tata. I am fiercely opposed yo that This is a holy country. I strongly advice the Police to cease and desist what they want to do on Monday. Wayalinde maandamano.
Tusione matatizo mahali ambapo hakuna matatizo.
Wajamaa ni watu wa hivyo hakuna kuwaruhusu usumbufu tuu
 
Ushahidi unaonyesha kwamba Polisi wanaongea maneno matamu lakini wanatesa sana watu wengi. Kama hapa wanasema kwa nini wanaharakati wasitumie Posta kupeleka ujumbe wao.
Wapokee vijana Ikulu,pokea ujumbe wao,wape soda vijana,basi,kuna tatizo gani.
Hii kazi hufananishwa na mnyama mmoja anafugwa kazi yake kubweka
 
Back
Top Bottom