Tetesi: Ikulu ya Marekani yatangaza dawa dhidi ya Corona, shukrani sana wazungu, mbarikiwe

Tetesi: Ikulu ya Marekani yatangaza dawa dhidi ya Corona, shukrani sana wazungu, mbarikiwe

Rais Donald Trump ameatangaza dawa maarufu ya kutibu Ebola remdevisir kutibu corona na itaanza kusambazwa katika hospital zote nchini humo kuanzia jumatatu

Aidha taasisi ya vyakula na dawa imesema kuwa dawa hii imeonesha maajabu M akubwa ya kutibu corona nchini humo na kulishauri shirika la WHO kuuidhinisha dawa hii kuwa dawa ya kutibu corona duniani

Dawa ya remdesivir pia ilitibu him a ya MERS ilitokea katika nchi za Ghuba na hata homa hatari ya MERS -1 kwa kiwango flani.

Hii itakuwa ushindi mkubwa dhidi ya corona duniani na kuanza kufungua uchumi wa dunia majimbo mengi nchini USA yanaanza kupunguza amri za kukaa ndani


Chanzo BBC& aljazeera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka wa 1918 liliibuka dude Spanish flu (1918 flu )kwa makadirio watu 500 milioni walipata maambukizi na kati ya 17 mpaka 50milioni waliaga dunia sasa napiga hesabu mpaka sasa kiasi ya laki mbili na ushee hali ni tete tunapitia waqt mgumu sana
 
Hii dawa si juzi juzi tu BBC hao hao wamesema imefeli kwenye first clinical trials.

My take, hii inaweza kua dawa! Sema kujikanganganya huko kilikua ni mkakati Ila hesabu zimewagomea.

Remdesvir ya v. RNA-Acyclovir v.DNA
Ningeshangaa:
 
NDIO ilikuwa mpango mkakati maana wanapiga pesa sana sasa kila nchi itaagiza mzigo
Hii dawa si juzi juzi tu BBC hao hao wamesema imefeli kwenye first clinical trials.

My take, hii inaweza kua dawa! Sema kujikanganganya huko kilikua ni mkakati Ila hesabu zimewagomea.

Remdesvir ya v. RNA-Acyclovir v.DNA
Ningeshangaa:

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Donald Trump ameatangaza dawa maarufu ya kutibu Ebola remdevisir kutibu corona na itaanza kusambazwa katika hospital zote nchini humo kuanzia jumatatu

Aidha taasisi ya vyakula na dawa imesema kuwa dawa hii imeonesha maajabu M akubwa ya kutibu corona nchini humo na kulishauri shirika la WHO kuuidhinisha dawa hii kuwa dawa ya kutibu corona duniani

Dawa ya remdesivir pia ilitibu him a ya MERS ilitokea katika nchi za Ghuba na hata homa hatari ya MERS -1 kwa kiwango flani.

Hii itakuwa ushindi mkubwa dhidi ya corona duniani na kuanza kufungua uchumi


Chanzo BBC& aljazeera

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu wabariki wazungu
 
Kwahiyo mnasusa kujifukiza na nyungu...aisee watu hamtaki wabongo wenzenu wapate popularity. Ngoja nisubiri Bia Yetu anaweza kusema hii ni kazi ya Jypymu
 
wazungu watulie kwanza,hii ni week ya Nyungu by Msukuma
Huyu ni Msukuma Mbunge wa ccm akitoka kujifukiza na msuli wake.  unamwambia nini ( 800 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom