Sasahivi kuna AJUZA kama wanne hivi ambao hata ukisoma post zao unagundua ni watu wenye IQ ndogo sana. 1. HIRMAS .2. VUNJO. 3. FUSO 4. KP. KIPANYA 44Umenikumbusha mbali sana...kuna 'ajuza' mmoja hivi hapa JF ndio ilikuwa hoja yake kila akichangia kwenye mada za vita vya Ukraine...Baadae ikabainika kuwa kumbe yule ajuza ni mweupe mno 'upstairs'