OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wenye vichwa vya panzi wanafanya karamu kufurahi Simba kutolewa,ila tu wanasahau kama Simba hii tishio imetolewa hatua ya robo fainali kwenye ligi kubwa kuliko zote Afrika. Imetolewa zikiwa zimebaki timu babe nane tu kati ya timu makumi zilizoanza hatua ya mchujo
Halafu imetolewa baada ya kuwafyeklea mbali wakali wenzie Nkana Fc, AS Vita na JS Saoura
Ingewezekanaje timu zote 8 ziende nusu?No,lazima kuna timu nne ziishie hapo,kama ambavyo Club bora kuliko zote Africa Al Ahl inaweza kutolewa usiku wa leo
Ikumbukwe zaidi kuwa tulijiwekea malengo saafi ya kufika hatua ya makundi,kwa hiyo wewe kichwa panzi jua hii ni Simba iliyovuka malengo
Kwa lugha rahisi Simba imeondoka kwenye level za Yanga imechumpa juu. Yanga atabaki kuwa mtani wa jadi tu
Halafu imetolewa baada ya kuwafyeklea mbali wakali wenzie Nkana Fc, AS Vita na JS Saoura
Ingewezekanaje timu zote 8 ziende nusu?No,lazima kuna timu nne ziishie hapo,kama ambavyo Club bora kuliko zote Africa Al Ahl inaweza kutolewa usiku wa leo
Ikumbukwe zaidi kuwa tulijiwekea malengo saafi ya kufika hatua ya makundi,kwa hiyo wewe kichwa panzi jua hii ni Simba iliyovuka malengo
Kwa lugha rahisi Simba imeondoka kwenye level za Yanga imechumpa juu. Yanga atabaki kuwa mtani wa jadi tu