johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Taarifa na picha kutoka Ikungi zinaonyesha mabango na Bendera za CCM ndio zimesheheni huku zile za Chadema zikionekana kwa kificho hapa na pale
Tusubiri baada ya misa ya pili mkutano gani utakula nyomi
Dominica njema!
Tusubiri baada ya misa ya pili mkutano gani utakula nyomi
Dominica njema!