Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Pia n kwa ajili ya kumuimbia Mungu kanisani na msikitiMdomo kumbuka ni kwa ajili ya kula msosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia n kwa ajili ya kumuimbia Mungu kanisani na msikitiMdomo kumbuka ni kwa ajili ya kula msosi
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wale wamenunua Tv 700k+ au friji 700k+ halafu wanaisafirisha kwa bodaboda [emoji23] Dah binafsi sina huo moyo aisee [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahIla moyo wa kuzama chumvini halaf unavaa kondom kuogopa kavu unao et??
Kumbe ni wwe Poor Brain dronedrake uko wapi hauna bundle?Mpaka nazama chumvini ujue huyo mwanamke namuamini na tunaenda kavu
Labla mashine hazitoki na bakteria ila mdomo unatoka nao, c unajua tena Mungu fundi.Sorry, tukiingiza mashine hao bakteria haileti shida.
Pia mdomo ni kwa ajili ya kuongea na bodaboda kubargain beiPia n kwa ajili ya kumuimbia Mungu kanisani na msikiti
Sorry tena.Kwani mashine umepewa ili uingize wapi?
Mdomo kumbuka ni kwa ajili ya kula msosi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
cocacola[emoji23][emoji23][emoji23]
mh!Leo nimepishana na mmoja Manzese amebeba Simtank ya lita Elf 6000,daah hatari sana 😀
😂😂🙌🏾Bodaboda ndio sisi wachumvini 😂
Inabidi mods waingilie kati 😂
N sawa na wala kitimoto, kila siku tunaambiwa n haramu na tutapata minyoo ya ubongo ila mpaka leo mwaka wa 10 huu hatujawahi kupatwa na matatizo yoyote kutokana na kitimoto 😎
Vijana wahuni sana hawa 😂
Ya UvinzaChumvi gan tena?
Wataleta vipi shida wakati machine ni pikipiki ya boxer?Sorry tena.
Mimi sipingani na wew kwenye "mouth to V"
Nimeuliza tuu kitaalamu kwanini hao bacteria hawaleti shida kwa mwanaume akitumia mashine.
Baby tuma na yakutolea....wanaume tumeumbwa mateso kuangaika..Wao wanajiita maafisa usafirishaji.Wana visa sanaView attachment 3016635
Kuna jamaa yeye anasemaga we pakia unachotakiwa niachie sheni ya kukaa (Sikai kwa tank) , we pakia hata kama ni tax inaenda😂Wao wanajiita maafisa usafirishaji.Wana visa sanaView attachment 3016635
Vijana umewafanyaje mbona wanakuamshia mkuu😅😅nilikuwa nafuatilia tu conversationBodaboda ndio sisi wachumvini 😂
Inabidi mods waingilie kati 😂
N sawa na wala kitimoto, kila siku tunaambiwa n haramu na tutapata minyoo ya ubongo ila mpaka leo mwaka wa 10 huu hatujawahi kupatwa na matatizo yoyote kutokana na kitimoto 😎
Vijana wahuni sana hawa 😂
Hawakatai Kazi
Kuna moderator kabadirisha heading yako kaaribu ata maana.Wao wanajiita maafisa usafirishaji.Wana visa sanaView attachment 3016635
Samahani, nilikuwa nimelewaKumbe ni wwe Poor Brain dronedrake uko wapi hauna bundle?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiiHuu Uzi ni WA Chuvi au wa maafisa usafirishaji? ngoja nipite[emoji23]
Rhabhekhaaaaaa!!!!cocacola