Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Kuna hii ngoma ya miaka kama 12 iliyopita ya Chris Brown ft Dr Dre, haikuwika sana ila bonge la ngoma beat yake naielewa kinoma kama nnavyoelewa I need doctor.
Muziki wa sasa hata siuelewi nyimbo sinazomiburudisha ni zile za miaka ya nyuma. Huenda nashazeeka
Muziki wa sasa hata siuelewi nyimbo sinazomiburudisha ni zile za miaka ya nyuma. Huenda nashazeeka