Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Sas nyinyi ndo mnapretend umaskiniMbona mimi makutupora @,Intelligent businessman dosho12 ni majobless hatujawahi kubrag utajiri
mzee baba huo ndo. Uhalisia wetu mimi nauza uduvi mitaa ya buruguniSas nyinyi ndo mnapretend umaskini
Mkuu story kama zile zinatufariji na magumu ya dunia, we chukulia ni kama movie tu au novel, usiwe serious sana, ilimradi siku ziende...Kuna yule jamaa aliesema allitisha malaya kutoka telegram akashangaa kumuona ndugu yake ila akachapa hivyo hivyo πππ₯
Kuna yule alikuwa na milion 50 mara punde si punde akaja tena kuomba kazi Jf anakufa njaaKuna mwamba kauliza jana hivi "wenzangu mnawezaje kupiga bao tatu wakati mimi moja inatosha tu na huwa inakinai"
Hii yote ni kutokana na mwamba kusoma posts nyingi humu kila mtu anajisifia kwenda hadi round nneπ
Yani humu JF kila mtu ni tajiri.
Ana nguvu za kiume
Kila mdada humu ni under 30
Kila mtu mwanasaikolojia
Kila mtu mhariri wa nyuzi
Sasa hivi kila mtu anaanza kuwa atheist, kila mtu anaamua kukataa ndoa, etc
Ila JF hahah, anyway maisha yaendeeleeπ
HeheheKuna yule jamaa aliesema allitisha malaya kutoka telegram akashangaa kumuona ndugu yake ila akachapa hivyo hivyo πππ₯
Aaaaaaaaaaaah! Poa! Fresh!mzee baba huo ndo. Uhalisia wetu mimi nauza uduvi mitaa ya buruguni
πππ Kama kweli wewe ni mwanamke nitajie jina la rangi hiziView attachment 3241255
Maghayo na huyo The Mongolian Savage ni wayahudi hao jamaa.... sema wameishi sana bongo.Kasoro mwehu ni mmoja tu Maghayo The Mongolian Savage
Na kuna mmoja alisema sijui anatoa odds za uhakika na ukibet lazima ushindeKuna yule alikuwa na milion 50 mara punde si punde akaja tena kuomba kazi Jf anakufa njaa
ππππMaghayo na huyo The Mongolian Savage ni wayahudi hao jamaa.... sema wameishi sana bongo.
Different colors one people , Nyani mmoja vichaka tofauti .Yaani zote ni ID MojaMaghayo na huyo The Mongolian Savage ni wayahudi hao jamaa.... sema wameishi sana bongo.
Yani nikiwa na njaa nikiingia humu napata "chai" za bure za kutosha tu.Mkuu story kama zile zinatufariji na magumu ya dunia, we chukulia ni kama movie tu au novel, usiwe serious sana, ilimradi siku ziende...
Lakini watu ni waongo balaa..
Wengi tumeoa na hao wanadanganya watu tu et kataa ndoaWewe ni kidume acha kutapeli vijana
Hahahah hakika mkuu
Unanunua ndege wakati wenzako Gazza wanakufa na utapiamloKuwa masikini jf ni kujitakia, hio ndege nanunua mwezi ujao dua zenu wakuu...
Nimepeleka fundi tayari wamefanya inspection, wamefanya test flight, nime negotiate bei, nimesha consult na legal na financial advisors... kilichobaki ni kuileta bongo tu..
Mashekhe kama wewe hawawagi hivi buana π€£Ataiuliza chat gpt